Nawavutia na nini hawa wanawake?

Nawavutia na nini hawa wanawake?

haya poa unipe dawa nyingi ya kunywa, kuoga na ya.kuweka huku hivi
Yaani nakupa na ya kuweka ndani ya mafuta ya kujipaka. na ya kujivukiza. Yaani ukipita sehemu tu lazima mapigo yake ya moyo yaende mbiyo. Lazima akuote. Yakuweka kwenye nani hii... hiyo ni limbwata.
 
Dahhh!!!!!!! Hebu waulize wazee kuwa walio tangulia walikua akina nani maana sasa hivi ni science wingi labda wanakuta ka ki science mkuu
 
Dahhh!!!!!!! Hebu waulize wazee kuwa walio tangulia walikua akina nani maana sasa hivi ni science wingi labda wanakuta ka ki science mkuu😀😀😀
Nimeshawauliza wamenieleza
 
kimwana cha JF kimejitosa kizima kizima. Sijui kimepata wapi no yangu ya simu.
 
Hahahahahahaaaa,umefanyiwa tambiko bila kujua ww na isitoshe upandikiswa jini mahaba na kama vile umeiba nyota za watu huko kijijini ndio maan.......naomba unipm nikusaidie mkuu
 
Hahahahahahaaaa,umefanyiwa tambiko bila kujua ww na isitoshe upandikiswa jini mahaba na kama vile umeiba nyota za watu huko kijijini ndio maan.......naomba unipm nikusaidie mkuu
Wewe ndio unatakiwa UniPM nikusaidie.
 
Sijui kwanini tu. Tangu nitoke kijijini kuwasalimia babu zangu, sijui imekuwa wanawake wananipenda ajabu, wengine wanadiriki kunianza kabisa kutaka niwe nao. Isitoshe wengine wanamjua kabisa mpenzi wangu.

Sijui nimerongwa au nini. Yaani nikienda sehemu kukaa vitoto vyakike vitaanza kujipitisha pitisha,ukijifanya unakiita kimoja yaani kinakuja kwaadabu ya hali ya juu.

Mimi nahisi maji ya kisima cha ajabu niliyoyaoga. Halafu cha ajabu kazi nazo zimekuwa fresh tu,wale ninaowadai wananitafuta wanilipe lakini kipindi cha nyuma walikuwa wananikimbia.

Yani sijui ni baraka au balaa,hususani wasichana.

Wenzetu wanajisifu kwa maendeleo ya kiuchumi na Teknolojia wewe UNAJISIFU NA PAPUCHI, hakika unastahili kuwa CHAKULA CHA MAMBA.

Taifa liko gizani na utumwani mikonononi mwa wachache na familia zao wakineemeka, na VIJANA tunategemewa KULIKOMBOA kutoka kwa MAFEDHULI wewe UNAJISIFU NA PAPUCHI. Stop ua DEVIL MIND ASAP and come with Good strategy to RESCUE THE NATION, our LIFE, FAMILY ect.
 
Wenzetu wanajisifu kwa maendeleo ya kiuchumi na Teknolojia wewe UNAJISIFU NA PAPUCHI, hakika unastahili kuwa CHAKULA CHA MAMBA.

Taifa liko gizani na utumwani mikonononi mwa wachache na familia zao wakineemeka, na VIJANA tunategemewa KULIKOMBOA kutoka kwa MAFEDHULI wewe UNAJISIFU NA PAPUCHI. Stop ua DEVIL MIND ASAP and come with Good strategy to RESCUE THE NATION, our LIFE, FAMILY ect.

Acha ujinga. Kama unashida ni wewe. Usidhani kila mtu anashida kama zako. Una mjua devil wewe. Kwanza wewe ndio malaya wa kwanza mtaani kweni. Acha kujifanya unajua sana uchumi wakati uko doro tu.

Kama huna cha kukoment just kunja vidole vyako. Sio kuja hapa kujifanya unajua sana devil. Hebu toka tupishe.
 
Back
Top Bottom