Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,951
Sijui kwanini tu. Tangu nitoke kijijini kuwasalimia babu zangu, sijui imekuwa wanawake wananipenda ajabu, wengine wanadiriki kunianza kabisa kutaka niwe nao. Isitoshe wengine wanamjua kabisa mpenzi wangu.
Sijui nimerongwa au nini. Yaani nikienda sehemu kukaa vitoto vyakike vitaanza kujipitisha pitisha,ukijifanya unakiita kimoja yaani kinakuja kwaadabu ya hali ya juu.
Mimi nahisi maji ya kisima cha ajabu niliyoyaoga. Halafu cha ajabu kazi nazo zimekuwa fresh tu,wale ninaowadai wananitafuta wanilipe lakini kipindi cha nyuma walikuwa wananikimbia.
Yani sijui ni baraka au balaa,hususani wasichana.
Sijui nimerongwa au nini. Yaani nikienda sehemu kukaa vitoto vyakike vitaanza kujipitisha pitisha,ukijifanya unakiita kimoja yaani kinakuja kwaadabu ya hali ya juu.
Mimi nahisi maji ya kisima cha ajabu niliyoyaoga. Halafu cha ajabu kazi nazo zimekuwa fresh tu,wale ninaowadai wananitafuta wanilipe lakini kipindi cha nyuma walikuwa wananikimbia.
Yani sijui ni baraka au balaa,hususani wasichana.