adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,035
- 15,540
Kuna jamaa kapigwa swali na mwandishi baada ya mahojiano kama hivi:
Mwandishi;unawashauri nini vijana wanaovuta oksijeni??
Jamaa;aseee nawashauri vijana waache kuvuta oksijeni kwani sio nzuri na ni tabia mbaya sana.nashauri serikali ipige marufuku kabisa vijana wasivute hiyo oksijeni
Mwandishi;unawashauri nini vijana wanaovuta oksijeni??
Jamaa;aseee nawashauri vijana waache kuvuta oksijeni kwani sio nzuri na ni tabia mbaya sana.nashauri serikali ipige marufuku kabisa vijana wasivute hiyo oksijeni