Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,487
- 913
Jana tumeketi kikao Cha wote wenye miji hapa mtaani KWETU kujadili masuala yetu hasa kuboresha Ulinzi Wa mtaa, bila kutazamiwa tulijukuta tumemezwa Na agenda ambayo haikuwa rasmi KWETU juu ya Tamko la Mhe Mbowe . chair wa CDM kuhusu kauli yao ya kuanza michakato ya Kuunda vikosi vya kujilinda.
Kilichotushangaza wamestuka too late, wamekumbuka shuka mchana. Mbona mambo HII iko wazi Kwa kila Mtu? Hakuna raia Wa Nchi HII anayelindwa Na polisi isipokuwa wenyenazo wachache. Takriban miaka miwili hapa mtaani KWETU haikuwa ikipita wiki pasipo mmoja wetu kuvamiwa Na majambazi. Wanakwiba Na kutesa watu, mnapiga cm polisi hadi mnachoka, Baadae wadude wakishajiondokea ndio polisi taratiibu wanakuja. Basi hapo kero moja Kwa moja utasumbuliwa, maelezo, kuripoti polisi, zitakutoka Fedha Za mafuta, daftari, kalamu, photocopy utajuta kuibiwa, mateso ya kuibiwa ni nafuu kuliko usumbufu wa polisi Na hawafanyi lolote.. Tukastuka, tukakubaliana kuunda Jeshi la kutulinda. Takriban masai Kama 12 Na mchanganyiko wa wengine 6 hivi, tukawaajiri Kwa mikataba Na kuwalipa wenyewe. At least matukio hayo sasa ni History KWETU. Kuna mwenzetu alijenga Kabanda ka KUKU ndio tumefanya selo Kwa atayekamatwa. Tukimpata mwizi iwe mchana au usiku hatumpeleki polisi, tunambana kirafiki atutajie Na majizi mengine Na tunajikusanyia vyote walivyokwiba Na kuwarudishia wenyewe kisha hao Wezi tunawageuza wawe walinzi chini ya walinzi. Tumefanikiwa sana kwa hili.
Hao CDM wangepaswa kuwa wameshaunda vikosi vyao siku nyingi vya kujilinda Wala SIO kosa kisheria, kuna full security, KK security, Knight Support , greenguard n.k vyote hivi ni vikosi vya kujilinda wenyewe , polisi walishajichokea zamani. CCM wana vikosi vitatu, greenguard Yao, polisi Na Jeshi, CDM wao wana watu Na wanauliwa kila siku maksudi wapo tu hawastuki.
Kilichotushangaza wamestuka too late, wamekumbuka shuka mchana. Mbona mambo HII iko wazi Kwa kila Mtu? Hakuna raia Wa Nchi HII anayelindwa Na polisi isipokuwa wenyenazo wachache. Takriban miaka miwili hapa mtaani KWETU haikuwa ikipita wiki pasipo mmoja wetu kuvamiwa Na majambazi. Wanakwiba Na kutesa watu, mnapiga cm polisi hadi mnachoka, Baadae wadude wakishajiondokea ndio polisi taratiibu wanakuja. Basi hapo kero moja Kwa moja utasumbuliwa, maelezo, kuripoti polisi, zitakutoka Fedha Za mafuta, daftari, kalamu, photocopy utajuta kuibiwa, mateso ya kuibiwa ni nafuu kuliko usumbufu wa polisi Na hawafanyi lolote.. Tukastuka, tukakubaliana kuunda Jeshi la kutulinda. Takriban masai Kama 12 Na mchanganyiko wa wengine 6 hivi, tukawaajiri Kwa mikataba Na kuwalipa wenyewe. At least matukio hayo sasa ni History KWETU. Kuna mwenzetu alijenga Kabanda ka KUKU ndio tumefanya selo Kwa atayekamatwa. Tukimpata mwizi iwe mchana au usiku hatumpeleki polisi, tunambana kirafiki atutajie Na majizi mengine Na tunajikusanyia vyote walivyokwiba Na kuwarudishia wenyewe kisha hao Wezi tunawageuza wawe walinzi chini ya walinzi. Tumefanikiwa sana kwa hili.
Hao CDM wangepaswa kuwa wameshaunda vikosi vyao siku nyingi vya kujilinda Wala SIO kosa kisheria, kuna full security, KK security, Knight Support , greenguard n.k vyote hivi ni vikosi vya kujilinda wenyewe , polisi walishajichokea zamani. CCM wana vikosi vitatu, greenguard Yao, polisi Na Jeshi, CDM wao wana watu Na wanauliwa kila siku maksudi wapo tu hawastuki.