Kwa buku unapata GB 1.2 kwa muda wa siku 5
Eneo ambalo npo halotel internet ipo na kasi sana ila ttcl ni mwendo wa kobeDuh kumbe gb hewa mkuu
Hicho kifurushi kimefyekwa nusu!TTCL kwa buku unapata 1.2GB plus dakika 10 na sms 30
Hadi wiki 2 zilizopita walikuwa vzr sana.TTCL? Labda kipindi hiki wawe wame improve
Jero napata GB ngapi
Aliyeleta mada kawafagilia kinoma sasa sijui ni TTCL ipi anayotumia yeye 🤣ttcl mnatukwaza aisee
Yani hata kufungua jf tu ni mbinde
Hiyo kasi kasi ipi?
Hiyo kweli mkuu mitandao menigine huwa haikamati kabisa baadhi ya maeneoEneo ambalo npo halotel internet ipo na kasi sana ila ttcl ni mwendo wa kobe
Haya mambo ya internet yanategemeana na maeneo.na kingine watu wengi wanafkir kila eneo lina 3g au 4g kitu ambacho sio sawa kwa mitandao yote
Duh kumbe gb hewa mkuu
Aliyeleta mada kawafagilia kinoma sasa sijui ni TTCL ipi anayotumia
Itakua ya angani😂😂😂😂Aliyeleta mada kawafagilia kinoma sasa sijui ni TTCL ipi anayotumia yeye 🤣
Weka menu yao acha maneno weweYeap mkuu na ukiangalia kwa sasa ttcl pekee ndo vifurushi vyao bei poa kushinda mitandao yote hapa nchini.