Nawapenda sana paka

09499df1452d6b520328b49b764afff5.jpg
Mmmh! Huyu ni paka kwelu au wa mchongo?
 
PAKA ni Kiumbe cha/wa ajabu sana.

PAKA anapajua Nyumbani kwake.

Wewe mchukue PAKA, kisha muweke kwenye kitu chochote ambacho hatoweza kuona nje na kisha kamtelekeze mbali na Nyumbani kwake, na kisha wewe ondoka.

Nakuambia kama ilikuwa Mchana, basi Jioni PAKA utamkuta Nyumbani.

PAKA ni Kiumbe cha kipekee
 
Kuna Siku hivi hivi na Uzee wangu nilimuona sehemu PAKA amegongwa na Gari, na PAKA mwenyewe alikuwa mdogo sana.

Aligongwa Mguuni mwake, kwa kweli jinsi alivyokuwa anatapatapa kujaribu kujisogeza na nikimuangalia kwa jinsi yale Maumivu aliyonayo, kwa kweli iliniuma sana.

Machozi karibu yanitoke, pamoja ya kuwa Machozi yangu yako mbali sana.

Lakini Siku ile, iliniuma sana.

Alikuwa akijitahidi kujiburuza lakini alishindwa, nilichofanya ni kumuinua pale alipo nikaenda nae pembeni nikamfunga kitambaa Mguuni mwake, nikamchukua nikampeleka Sehemu husika wanaposhughulika na Wanyama.

Iliniuma sana
 
Mi napenda paka na mbwa, ila sasa paka wananiudhi sana wa mwisho nlimwachilia mbwa wakamuua, alikuwa na kawaida ya kuingia jikoni anakula samaki, siku moja nimenunua samaki ndoo nzima wakakaangwa nikijua kabisa ataiba basi nikachukua ndoo nikafunika na mfuniko wake, usiku akafungua akala samaki wote, yaan anavyofoa kidogo anaacha anachukua mwingine. Nikamtoa akawa analala nje, baasae akachana wavu wa dirisha la jikoni akaingia akala samaki tena ndoo nzima. Nina mbwa wawili mmoja nlimnunua fidfos, amepata mafunzo na cheo cha koplo. Yeye ukimwambia kamata, hata kama ni mtu bora ujisalimishe tu. Dakika tano nyingi paka aliletwa akiwa ujiuji kavunjwa mifupa yote, but mbwa kararuriwa uso wote dam
 
Mimi yule nilimuweza kwenye chakula kama hakipo kwenye sahani yake hali, ukitupa chini hali.
Hakukua na banda hivyo alikua analala na mimi room moja, alfajiri atanirukia rukia pale ili nimfungulie, ila ndo vile vidume vikamteka vikalala naye mbele.
Alisharudi nyau wako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom