Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,363
- 31,504
Nimeipenda hiyo, nitamshonea nyau wanguView attachment 449669 'sista duu na brazameni' ktk ulimwengu wa paka.
Nimeipenda hiyo, nitamshonea nyau wanguView attachment 449669 'sista duu na brazameni' ktk ulimwengu wa paka.
Mmmh! Huyu ni paka kwelu au wa mchongo?
Wa kwangu huyu, kavivu mno
hivi hii sindio mitumba wengi wa watanzani huwavisha watoto wao?View attachment 449669 'sista duu na brazameni' ktk ulimwengu wa paka.
Wanyama wanaona mengi ambayo binadamu huwezi kuyaona kwa macho ya kawaida.Same to me, mie na paka tunapendana sana tena mno.
Paka ni wazuri ila shida yao wanapenda starehe mno yaan anataka masaa yote awe amelala tu na akiamka msosi uwepo yaan anajikuta yeye ndio Boss ndani ya nyumba yako
Kabisaaaah, yaan paka wananipenda hadi basi.Wanyama wanaona mengi ambayo binadamu huwezi kuyaona kwa macho ya kawaida.
Alisharudi nyau wakoMimi yule nilimuweza kwenye chakula kama hakipo kwenye sahani yake hali, ukitupa chini hali.
Hakukua na banda hivyo alikua analala na mimi room moja, alfajiri atanirukia rukia pale ili nimfungulie, ila ndo vile vidume vikamteka vikalala naye mbele.
ThubutuAlisharudi nyau wako