Kazwala mkuu
JF-Expert Member
- Jul 2, 2016
- 1,034
- 2,247
- Thread starter
- #21
Hahaha! Safi sana ulimfuga vema.Mimi yule nilimuweza kwenye chakula kama hakipo kwenye sahani yake hali, ukitupa chini hali.
Hakukua na banda hivyo alikua analala na mimi room moja, alfajiri atanirukia rukia pale ili nimfungulie, ila ndo vile vidume vikamteka vikalala naye mbele.