Ha ha ha ha ha haNikaanza kukimbia barabarani kupunguza kil0 ila nilik0swa na bodaboda nikaona ntakufa...
Kuna Uzi hapa niliweka unahusu Afya ya uume. Utafute.
1. Kunywa maji mengi kuanzia Lita 3 Kwa Siku.
2. Usile chakula Baada ya saa moja jioni.
3. Fanya mazoezi ya kukimbia, na Yoga.
4. Lala muda wa Kutosha sio pungufu ya masaa nane. Kwa afya usingizi wa saa 3:30-4:00 Usiku ni muhimu. Yaani lala mapema.
5. Acha kujichua
6. Kula chakula OG, hasahasa mchicha, nyama, maharage, pia matunda kama ndizo moja Kwa siku.
7. Fanya mazoezi ya pumzi, Hii mpaka awepo kocha wa kukufundisha
8. Usipendelee kuvaa nguo nyingi zinazobana, Acha makende wazi muda mwingi.
9. Ukifanya mapenzi, balansisha uume wako usiwe Mgumu sana.... Hii nakuandikia Uzi sasa hivi.
10. Usirelax ukiwa unasex, tumia energy kidogo.
Ntafanya ivi kaka...Mi dakika 30 nikizipata watakoma walah..Yule aisha wakala nampiga muunganiko 30+30=60 *****Mkuu kesi yako ndogo sana, kula matunda kwa wingi (matikiti maji na parachichi) wiki moja tu uje hapa ulete mrejesho
Mbegu za maboga ukikutana nazo usiziache pita nazo
Chukua asali lita moja changanya na vijiko vinne vya mdalasini na vinne vya tangawizi(vijiko vya chakula)
Kisha tumia kijiko kimoja asubuhi kimoja jioni
Hiyo ni tiba tosha kwa tatizo lako
Usitumie vyote hivyo kwa wakati mmoja
Mimi ratiba yangu kwa siku ipo hivi, asubuhi nakunywa maziwa ya moto na chapati mbili za jero jero(hii ni saa mbili asubuhi au saa tatu asubuhi)
Ikifika saa sita nakula matunda yale wanayofunga kwenye vikontena ila mimi namwambia aniwekee parachichi na tikitiki maji na nanasi basi(haizidi buku)
Ikifika saa nane na nusu au saa tisa ndo napata lunch yoyote ile
Mimi sijaoa kwa hiyo usiku naweza kula matunda tena kisha ndo nikalala
Hapa hata nikikaa mwezi mmoja bila sex ila nikikutana na manzi bao la kwanza si chini ya 30 minutes
lengo si kuchelewa??? Tumia mbinu zozote mkuu..Hahaha Kwenye sex niwaze Wafu Sawa mkubwa..
Shughulikia kwanza hili, jifunze kuwa na nidhamu. Ukiweza basi utaweza kuwa na nidhamu ya kitandani, nidhamu ya kujiongoza na kuongoza hisia zako.Kuhusu maz0ezi Nalipaga mpk GYM ila Mie mvivu sana ntaenda siku mbili naacha..
Maji ya bamia yaliyochemshwa au vp??Uwe unakunywa maji ya bamia kila jion weka na ndimu mm aloo hii dawa inanguvu sana bao la kwanza tu dakika 15
Matumizi mazuri ya punyeto.Tafuta bwawa
Hata DeepPond analijua hili
Wewe wakati unapiga nyeto ulikuwa hufanyi udambwi dambwi mbalimbali
Mimi nakumbuka kipindi napiga nyeto serious kuna wakati nilikuwa napiga mazoezi ya kupoteza hisia nitachezea dude mpaka linakufa ngazi baadae ndo naliruhusu liteme wazungu
Kuna wakati huwa nikishindwa kujizuia kumwaga haraka,nachofanya ile ndo tumeingia mchezoni navuta hisia sana na napizi haraka,nikishapiz navuta hisia tena na naendelea kupump mdogo mdogo dude linapata nguvu mpya tena ninaendelea kufurahia mbususu hapo ntaisugua mpaka ikome tena ikitokea ni bwawa nitaiburuza mno
iLa ni rahis kuunganisha goli kama unakula mbususu nyama nyama,ingawaje zaman nilipokuwa na umri wa 20 ya mwanzon nilkuwa na uwezo wa kuunganisha hata kwa kondomu