Nawafanyia application za chuo wanafunzi

Nawafanyia application za chuo wanafunzi

Jambo jema sana ulifanyalo Mkuu rennesha ukiachilia mbali kuwa ni fursa. Natumai wanafunzi wenyewe huchagua kozi na vyuo wavitakavyo ili wewe uwasaidie kuwaombea. Lakini, itakuwaje endapo wewe ukimuombea chou tofauti au kozi tofauti na aliyoitaka mhusika? Kila la heri Mkuu!
hapana simuombei chuo tofauti.

Ni tunashauriana na huyo mwanafunzi aseme kozi gani, chuo gano anataka then namfanyia application.
 
watu muendee kuleta kazi, zinaendelea kufanywa kwa umakini wa hali ya juu.

N.B nimegundua wanafunzi wengi waliosoma PCB na CBG halafu wakapata division 2 au 3 wanapanikishwa wakasome diploma

Waje tushauriane.
 
watu muendee kuleta kazi, zinaendelea kufanywa kwa umakini wa hali ya juu.

N.B nimegundua wanafunzi wengi waliosoma PCB na CBG halafu wakapata division 2 au 3 wanapanikishwa wakasome diploma

Waje tushauriane.
Mimi udom inazengua, niliomba last yr nkakosa. Nikiomba mwaka huu wananambia nilishajisajili half nkiweka password inagoma. Nimereset pia more than 20 times ila inagoma
 
Mh!!!! haya. Msijelia baadaye kuwa mmetapeliwa. Jamaa kajiunga JF juzi tu July 20, 2018. Lengo lake ni nini hasa?
 
Hivi unapoomba certificate ya ualimu kuna kiambatanisho chochote unakiweka?Na kama hamna ni taarifa zipi muhimu zinatakiwa?
 
Wale wanafunzi waliomaliza form 6 na wanaotarajia kuingia chuo (degree)mwaka huu nina habari njema kwenu.

Nipo hapa nafanya kazi ya kuwasaidia kufanya application za kwenda chuo, unachotakiwa ni kunipa tuu taarifa zako muhimu kama email(ikiwa huna ntakutengenezea), namba za simu na taarifa zingine muhimu, kila kitu kilichobakia ntakufanyia mimi.

Uzuri mmoja teknolojia imerahisisha mambo,kwahiyo ntakapokufanyia application we mwenyewe utahakikisha hukohuko ulipokuwa, na tutakuwa tukiwasiliana kupitia whatsaap na message za kawaida vile vile ushuri wa bure kabisa kuhusu kozi za kusoma na chuo cha kuchagua ntakupatia..karibu sana

Mawasiliano. 0718274828
au
0789805698


Email:areachood@gmail.com
mkuu samahani nipo namuapplyia dogo sua but nikiweka username na password vipi napata reference no
 
Na je unaweza omba vyuo viwili Kwanza then baada ya muda ukaongezea tena vingine?
 
mkuu acha kuchafua watu, mi simjui ila nimempa madogo wawili na hakuna hata mmoja aliyelalamika
 
Mkuu msaada maana nahisi kukwama kwa sua...sipate invoce number ya malipo
 
Back
Top Bottom