Wale wanafunzi waliomaliza form 6 na wanaotarajia kuingia chuo (degree)mwaka huu nina habari njema kwenu.
Nipo hapa nafanya kazi ya kuwasaidia kufanya application za kwenda chuo, unachotakiwa ni kunipa tuu taarifa zako muhimu kama email(ikiwa huna ntakutengenezea), namba za simu na taarifa zingine muhimu, kila kitu kilichobakia ntakufanyia mimi.
Uzuri mmoja teknolojia imerahisisha mambo,kwahiyo ntakapokufanyia application we mwenyewe utahakikisha hukohuko ulipokuwa, na tutakuwa tukiwasiliana kupitia whatsaap na message za kawaida vile vile ushuri wa bure kabisa kuhusu kozi za kusoma na chuo cha kuchagua ntakupatia..karibu sana
Mawasiliano. 0718274828
au
0789805698
Email:areachood@gmail.com
Nipo hapa nafanya kazi ya kuwasaidia kufanya application za kwenda chuo, unachotakiwa ni kunipa tuu taarifa zako muhimu kama email(ikiwa huna ntakutengenezea), namba za simu na taarifa zingine muhimu, kila kitu kilichobakia ntakufanyia mimi.
Uzuri mmoja teknolojia imerahisisha mambo,kwahiyo ntakapokufanyia application we mwenyewe utahakikisha hukohuko ulipokuwa, na tutakuwa tukiwasiliana kupitia whatsaap na message za kawaida vile vile ushuri wa bure kabisa kuhusu kozi za kusoma na chuo cha kuchagua ntakupatia..karibu sana
Mawasiliano. 0718274828
au
0789805698
Email:areachood@gmail.com