Nawachukia wanaume

Nawachukia wanaume

Hii pekee ndio sababu, zile zingine ni justifications tu, kwangu hazina msingi haswaaaa, maana kama umeamua kuingia kwenye mahusiano, inamaana umeamua kuingia na mtu unayempenda na umemridhia na wayajua mapungufu yake na uko tayari kuvumiliana as hata nawe haujakamilika, "love" inashinda yote.
My boss me nilikuwa naonyesha tu kuwa wakati mwanamke ahusiku kabisa na mumewe kucheat. Ni mume tu mwenyewe
 
Umeniwahi hawa wanaume mi ndo nawachukia unajitahidi kwa kila hali ili alizike lakin wapi jamen wanaume punguzen mtatuuwa bilahoma
 
Napenda sura ya mwanaume akiwa kapigika nyumba ndogo anarudi kwa mkewe kuomba msamaha, anamkuta mke na watoto wako poa maendeleo kwenda mbele anarudi sura ndogoo, mke wangu niliteleza! Mxiiiuuuuu! Alikanyaga ganda la ndizi?!
Hahahhaha sio kwa hilo bango eti " ulikanyaga ganda la ndizi". Mwingine utamsikia "shetani alinipitia", sasa sijui walikuwa na appointment ya kwenda wapi hadi ampitie
 
Hii pekee ndio sababu, zile zingine ni justifications tu, kwangu hazina msingi haswaaaa, maana kama umeamua kuingia kwenye mahusiano, inamaana umeamua kuingia na mtu unayempenda na umemridhia na wayajua mapungufu yake na uko tayari kuvumiliana as hata nawe haujakamilika, "love" inashinda yote.
Ndoa ni wito jamani. Nahisi tunaapa tu kwa mazoea "katika shida na raha". But sisi tunaingia tu ndoani na ile "katika raha". Ndoa ni kubebeana mizigo ooh
 
Napenda sura ya mwanaume akiwa kapigika nyumba ndogo anarudi kwa mkewe kuomba msamaha, anamkuta mke na watoto wako poa maendeleo kwenda mbele anarudi sura ndogoo, mke wangu niliteleza! Mxiiiuuuuu! Alikanyaga ganda la ndizi?!

Ajali kazini...kurudi nyuma sio ujinga...
 
Ndoa ni wito jamani. Nahisi tunaapa tu kwa mazoea "katika shida na raha". But sisi tunaingia tu ndoani na ile "katika raha". Ndoa ni kubebeana mizigo ooh

Na ndio maana kati ya ndoa 10 zinazofungwa siku hizi "ndoa" ni moja tu!! Hawa viumbe wanataka tuwavumilie ila sisi ni malaika hatutakiwi kuwakosea wao, kosa dogo tu la kurekebishana huyoooo kukimbilia mchepuko ndio suluhisho lao, wanadhani sie tuna mioyo ya chuma, eti tuwavumilie tuu, tena wanaongea kuitetea kuchepuka bila hata haya.
 
Like serious!! Kwahiyo umeshajiandaa kabisaaaa kuwa utachepuka? Nitapata wa kufanana nami, nawe utapata mchepukaji mwenzio, so hilo halinipi shida.

Shemeji bora na hawa wengine wakwambie...
 
Shemeji bora na hawa wengine wakwambie...

Si ndio akili zenu zilipoishia maarifa hamna, kwani unadhani kwanini Mungu alisema "watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa"??? Jiulize then jijibu mwenyewe maana mie mnaniharibia tu usiku wangu na kutetea huo upuuzi.
 
Na ndio maana kati ya ndoa 10 zinazofungwa siku hizi "ndoa" ni moja tu!! Hawa viumbe wanataka tuwavumilie ila sisi ni malaika hatutakiwi kuwakosea wao, kosa dogo tu la kurekebishana huyoooo kukimbilia mchepuko ndio suluhisho lao, wanadhani sie tuna mioyo ya chuma, eti tuwavumilie tuu, tena wanaongea kuitetea kuchepuka bila hata haya.
tena hapo pa kutetea bila haya eti michepuko ni lazima ndo inapokera zaidi. Sasa mtu anajinenea kuchepuka, unadhani hata mkewe asipokosea hatochepuka? Maneno yanaumba so atachepuka tu. Wanajiendekeza tu kuchepuka, mwee tuwaombee tu bure
 
inakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye cm yako lakin unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii...jamn kuna wakati wanatulaum wanawake lakin jmn kuna wanaume vimeo cjawahi kuona duuh

Wapende wanawake wenzio
 
Pole lakini, chunguza ni Kwa nini amefanya hivyo hata Kama meachana itakusaidia kupata anayeendana Na wewe, au ukamrekebisha huyo ulie naye, Na Kama wewe unatatizo utajirekebisha, hasira hasara, kwani ni lazima kuna chanzo hakuna anayependa kuhangaika Na wanawake au wanaume na changamoto zote zinazotukabili!!!!!!
 
tena hapo pa kutetea bila haya eti michepuko ni lazima ndo inapokera zaidi. Sasa mtu anajinenea kuchepuka, unadhani hata mkewe asipokosea hatochepuka? Maneno yanaumba so atachepuka tu. Wanajiendekeza tu kuchepuka, mwee tuwaombee tu bure

Yaani wananikeraga hawajui tu, jitu shipa limemtoka anatetea huo upuuzi, hivi ni kuwa ulimwengu umetuzidi akili badala tuutawale basi ndio unatutawala!!! Aliwazalo mjinga ndilo litalomtokea.
 
Yaani wananikeraga hawajui tu, jitu shipa limemtoka anatetea huo upuuzi, hivi ni kuwa ulimwengu umetuzidi akili badala tuutawale basi ndio unatutawala!!! Aliwazalo mjinga ndilo litalomtokea.
Kwa kweli inakatisha tamaa sana kuona mtu yupo proud kukiri "udhaifu". Ni kama mgonjwa anaumwa but Kila ukimpa dawa anazitupa kisiri siri. Inamaanisha yupo tayari kufa tu. Tuwaombee tu
 
Upande wa pili nao unashangaa inakuwaje mwanamke huridhiki na mwanaume mmoja wakat ndo amekutoa bikra....
 
Back
Top Bottom