Nikitaja tu, itajulikana. Ila wale police hawatasahau kilichowakutaHiyo koneksheni unaifisha..huo ndio usnitch wenyewe. Wengi hapa mbwa tu.
Kwahiyo unashindwaje kuwapa wenzako hapa mbinu. Mbwa wewe
Nikitaja tu, itajulikana. Ila wale police hawatasahau kilichowakutaHiyo koneksheni unaifisha..huo ndio usnitch wenyewe. Wengi hapa mbwa tu.
Kwahiyo unashindwaje kuwapa wenzako hapa mbinu. Mbwa wewe
😂 analeta ujuajiNilihisi kutatokea jambo.
Mengine uwe unavumilia.Uwe na ka'bba.Uwe "mwanamke shujaa"!Uwe wa kupigiwa mfano.Uwe mlezi.Uwe mama.Uwe everything good!😂 analeta ujuaji
Mbona nipo vizuri tu mwee😇😜Mengine uwe unavumilia.Uwe na ka'bba.Uwe "mwanamke shujaa"!Uwe wa kupigiwa mfano.Uwe mlezi.Uwe mama.Uwe everything good!
nilienda nikaongea na maaskari fulani wakanipigie mkwara mwana fulani ambae aliniuzia simu mkononi ili asije akajaribu kunizunguka baadae, Ambao wanaelewa ujanja ujanja wa town wanaelewa... Basi bwana tumetoka pale tunafika sehemu husika anapopatika yule mwana kweli tukamkuta pale eti wakaenda kumvalisha pingu na mkong'oto wa maana (hapo nadhani ni kwa sababu dogo alikuwa mkorofi makabila ya Kaskazini si mnayajua)
Dah! binafsi sikupenda ila kwa kuwa niliwaamini wale askari niliona labda ndo techniques zao za kumuonesha userious jamaa.... He! wakam'beba mwana, bwanaee tunafika kituoni eti wananiambia nifungue jalada la kumshtaki jamaa kwa kuniuzia simu ya wizi nawaambia mbona sikuja kwa lengo hili wakanibadilikia eti kwamba nisipofanya hivyo msala wote wananigeuzia mimi...... Ikaenda vile though tulikuja kusolve lile suala mwana akatoka siku ileile ila alinilaumu sana, me nilimuelekeza tu kwamba lengo halikuwa kumfunga ila askari ndo wamenigeuka, Baadae nilikuja kugundua wale askari walikuwa na lengo waipige ile simu au wapige hela nyingi kwetu.
Nilijuta kuwapa ile kazi wale polisi kwanza walimuumiza sana mwana yule na ukizingatia wote bado vijana masuala kama yale ya kuvalishana mapingu tena dah! sikupenda kabisa... Wale me nilichukulia ni kama walinzi kwetu so nilihitaji tu wanithibitishie ulinzi pekee lakini baadae wanataka kuniingiza matatizoni zaidi, Vipi kesi ingefika mahakamani? Vp wazazi ndugu wa mwana yule wangenionaje mimi Dah!

eti mkwarASafi kabisa.Uko wapi nije kukukamata bila kosa?Mbona nipo vizuri tu mwee😇😜
Nimeshindwa kutoa maelezo mengi kwasababu kesi bado ipo mahakamanipole sana. japo umeandika kama hadithi ambapo inakosa uhalisia. tungetamani kujua yafuatayo ....
1. ulikamatwa ukiwa unafanya kazi gani, ukahusishwa na kosa gani
2. ulibambikizwa kosa/makosa gani
Ukifanya vitendo visivyo vya maadili chini ya mwamvuli wa taasisi ya umma bila shaka utakua imeichafua taasisi.Polisi akikufanyia ubaya mtoe kwenye mwavuli wa jeshi halafu mshughulikie kama yeye. Fatuma kama Fatuma na sio Fatuma kama askari polisi.
Kinyume na hapo hakuna tofauti na mwanamke anayesema wanaume wote ni mbwa kana kwamba amemwadhibu huyo mwanaume.
Halafu achana na upoyoyo wa kufikiri mwenye mawazo mbadala ni polisi au hajawahi kupambana na polisi.
Uwage na dushe,siyo kujakuja tuSafi kabisa.Uko wapi nije kukukamata bila kosa?
Bure kabisa weye!Nimekoma kiherehere!Usije ukawa kama yule aliyetuambia tumtie ujauzito malezi juu yake.😂😂😂😂😂Uwage na dushe,siyo kujakuja tu
Dawa ni kuwahepuka kwa kufanya yaliyo mema machoni na mafichoni mwa jamii.Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.
Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.
Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.
Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu
Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
UA ALIYEKUBAMBIKIAKwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.
Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.
Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.
Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu
Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
Mi unalea aiseeBure kabisa weye!Nimekoma kiherehere!Usije ukawa kama yule aliyetuambia tumtie ujauzito malezi juu yake.😂😂😂😂😂
Ntaleta ubishi hadi nipelekwe polisi.Mi unalea aisee
Wewe ni snitch sananilienda nikaongea na maaskari fulani wakanipigie mkwara mwana fulani ambae aliniuzia simu mkononi ili asije akajaribu kunizunguka baadae, Ambao wanaelewa ujanja ujanja wa town wanaelewa... Basi bwana tumetoka pale tunafika sehemu husika anapopatika yule mwana kweli tukamkuta pale eti wakaenda kumvalisha pingu na mkong'oto wa maana (hapo nadhani ni kwa sababu dogo alikuwa mkorofi makabila ya Kaskazini si mnayajua)
Dah! binafsi sikupenda ila kwa kuwa niliwaamini wale askari niliona labda ndo techniques zao za kumuonesha userious jamaa.... He! wakam'beba mwana, bwanaee tunafika kituoni eti wananiambia nifungue jalada la kumshtaki jamaa kwa kuniuzia simu ya wizi nawaambia mbona sikuja kwa lengo hili wakanibadilikia eti kwamba nisipofanya hivyo msala wote wananigeuzia mimi...... Ikaenda vile though tulikuja kusolve lile suala mwana akatoka siku ileile ila alinilaumu sana, me nilimuelekeza tu kwamba lengo halikuwa kumfunga ila askari ndo wamenigeuka, Baadae nilikuja kugundua wale askari walikuwa na lengo waipige ile simu au wapige hela nyingi kwetu.
Nilijuta kuwapa ile kazi wale polisi kwanza walimuumiza sana mwana yule na ukizingatia wote bado vijana masuala kama yale ya kuvalishana mapingu tena dah! sikupenda kabisa... Wale me nilichukulia ni kama walinzi kwetu so nilihitaji tu wanithibitishie ulinzi pekee lakini baadae wanataka kuniingiza matatizoni zaidi, Vipi kesi ingefika mahakamani? Vp wazazi ndugu wa mwana yule wangenionaje mimi Dah!
Ha ha ha,sawaNtaleta ubishi hadi nipelekwe polisi.
NB:Hivi mtu (mwanaume)anaogopaje ujauzito wakati ameubeba mwanamke?Huu woga sijui hutokea wapu?😂😂😂😂