Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,235
.........Apandacho mtu ndicho atakachovuna.........Ole wao wafanyao hayo ,lazima watalipa.Tall asante kwa mada nzuri..Najua wanaume wengi hapa watapinga sana na kujifanya ooh ulijuaje kama kina Chrispin walivyouliza kwa kuwa wao huwa wanafanya hivyo..Nimewahi kusikia habari hii mkaka mmoja alisema bila aibu kwamba yeye huwa anatoba kondomu kwa kuwa anataka apate ladha kamili.Cha kushangaza huyo jamaa anadai na mkewe huwa wanatumia kondomu kama njia ya family planning lakini nje ya ndoa marafuku kutumia kondomu ikibidi hivyo basi huwa anatoboa..Iko kazi!