#ETrending Kundi la muziki la @navykenzoofficial likiwa kwenye maandalizi ya kuachia kazi mpya hivi karibuni. Habari za chini ya carpet ni kuwa kundi hilo la muziki limesitisha kufanya kazi na meneja wao #SallamSk ambaye pia ni meneja wa @#DiamondPlatnumz
Navy Kenzo wapo mbioni kuachia kazi zao zijazo wakiwa chini ya uongozi mpya ambao ni kampuni kubwa ya kusambaza na kusimamia kazi za wasanii duniani (Jina Kapuni).
.
.
#RickMedia
#NewsChamber
#EntertainmentChamber