Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,507
- 5,739
Kwa maana kwamba Yale Maneno yamezoeleka kusikika wcb haahaaNina uhakika verse ya Aika imeandikwa na Dimond au mbosso ule uandishi wa WCB kabisa
Kwa maana kwamba Yale Maneno yamezoeleka kusikika wcb haahaaNina uhakika verse ya Aika imeandikwa na Dimond au mbosso ule uandishi wa WCB kabisa
hilo la partnership sizani,Navy Kenzo wameingia partnership na WCB wasafi kufanya kazi pamoja
Kuna kazi kibao wanafanya pamoja
Soon wanafanya press conf
Ina maana wamewapiga chini fiesta.... dahhhh ndo wanapotea hivyo... hawawez pata promo ya clouds Fm tenaNavy Kenzo sasahivi wamepartner na WCB wanafanya kazi pamoja kea kushirikiana Kuna kazi nyingine zinakuja
Watakuwepo pia kwenye wasafi festivour.
sasa iv tutawazika kwenye soko la music no clouds no good musicIna maana wamewapiga chini fiesta.... dahhhh ndo wanapotea hivyo... hawawez pata promo ya clouds Fm tena
Ungeenda kuwauliza wenyewe mkuu
Ukioana wewe na mwenzi wako inatosha
Sasa mimi na wewe nani mwenye kiherehere mkuu haahaa ,kiherehere unacho wewe kuuliza watu wanaoana liniAcha kiherehere,kama post haikuhusu potezea,wenyewe wanaweza jibu au wasijibu. JF kubwa mfyuuuuu zako
Nina uhakika verse ya Aika imeandikwa na Dimond au mbosso ule uandishi wa WCB kabisa
Jibu makini kabisa watu waache umbeaUkioana wewe na mwenzi wako inatosha
Sasa mimi na wewe nani mwenye kiherehere mkuu haahaa ,kiherehere unacho wewe kuuliza watu wanaoana lini
Hehehe iniume nini sasa na wewe.... subiri usiku ufike ukakojoe uliwe mambo na mumeo. Ikikuuma wanachelewa kawaulize inbox mfyuuuuImekuuma kula doko pheeewww mfyuuuu
ni jambo zuriKuna wasanii naona wanasogea WCB na kuwatupa mkono clouds media taratibu mojawapo ni navy kenzo na Ben pol