Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,190
- 128,264
mambo yalikua hayaendi ikabidi Salam SK awe meneja wao na ndiyo wameanza kurudi sasa.
Wataoana lini?
Naupenda huu wimbo yani.... nkifungua mpaka mwanangu kashanikaririHata ule 'FELA' ulikuwa fire nashangaa ulikosa promo
Vee mapesa pia..... anajituma sana, kiki tupa kule na still anatoboaNavy Kenzo tu ndio wamebaki wanafanya mziki mzuri bila kiki
UmemuwezaUkioana wewe na mwenzi wako inatosha
Vee mapesa pia..... anajituma sana, kiki tupa kule na still anatoboaNavy Kenzo tu ndio wamebaki wanafanya mziki mzuri bila kiki
ha haaahaaa bilashaka wanapendezaNavy na mkewe wako poa jamani wanapendana hawa watu
So wapo WCB aumambo yalikua hayaendi ikabidi Salam SK awe meneja wao na ndiyo wameanza kurudi sasa.
Mond kafunika mwenye nyimbo.Kundi na couple maarafu East Africa Navy Kenzo baada ya kimya kirefu wakilea mtoto wao wamerudi na kutoa ngoma Kali wakimshirikisha mkali Diamond platnumz
Enjoy
So wapo WCB au
Dah! Best commentWasanii wengi wanataka gemu liiendeshwe kiproffessional (kibiashara) zaidi,lakini wao hawapendi kuheshim proffessional za maproducer.Maproducer wengi baada ya kuweka gharama mpya za utengenezaji wa biti na kutaka kila kinachoingia kwa msanii nao wao na asilimia yao wasanii wamewakimbia,sio kwamba wamewakimbia sababu labda wameishiwa hapana,sababu wanataka issue ziende kibiashara.Mwangalie Pancho.Abby dady na Nareel.Nareel ni bonge la producer lakini baada ya kutaka vitu viende kibiashara zaidi WEUSI wakamkimbia,sasa wapo kwa S2KIZZY.Ila yote kwa yote hii bonge la club benga,Nareel kaua kwenye biti na Diamond kapewa lifti kaamua kupiga mpaka honi.
Korasi imepoa sana..... angempa dully hapo kwenye korasiKundi na couple maarafu East Africa Navy Kenzo baada ya kimya kirefu wakilea mtoto wao wamerudi na kutoa ngoma Kali wakimshirikisha mkali Diamond platnumz
Enjoy
Basi soon tu utasikia wapo WCBNavy Kenzo hawapo WCB bali meneja wao ni Sallam SK
hawana sababu ya kufanya hivyo kwasababu meneja wa huko tayari ni meneja wao.Basi soon tu utasikia wapo WCB
Navy Kenzo sasahivi wamepartner na WCB wanafanya kazi pamoja kea kushirikiana Kuna kazi nyingine zinakujaWasanii wengi wanataka gemu liiendeshwe kiproffessional (kibiashara) zaidi,lakini wao hawapendi kuheshim proffessional za maproducer.Maproducer wengi baada ya kuweka gharama mpya za utengenezaji wa biti na kutaka kila kinachoingia kwa msanii nao wao na asilimia yao wasanii wamewakimbia,sio kwamba wamewakimbia sababu labda wameishiwa hapana,sababu wanataka issue ziende kibiashara.Mwangalie Pancho.Abby dady na Nareel.Nareel ni bonge la producer lakini baada ya kutaka vitu viende kibiashara zaidi WEUSI wakamkimbia,sasa wapo kwa S2KIZZY.Ila yote kwa yote hii bonge la club benga,Nareel kaua kwenye biti na Diamond kapewa lifti kaamua kupiga mpaka honi.
Ungeenda kuwauliza wenyewe mkuuWataoana lini?
Nimeona kwenye post aliyo post Harmonize kagusia,nahisi hata Vanessa na Jux nao kama wanakuja huku huku.Navy Kenzo sasahivi wamepartner na WCB wanafanya kazi pamoja kea kushirikiana Kuna kazi nyingine zinakuja
Watakuwepo pia kwenye wasafi festivour.