Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

Phone4Sale Nauza simu yangu Infinix note 12, nimekwama

Sister Abigail

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2020
Posts
3,357
Reaction score
10,379
.
 

Attachments

  • Screenshot_20251201-131151.jpg
    Screenshot_20251201-131151.jpg
    79.7 KB · Views: 13
  • Screenshot_20251201-131144.jpg
    Screenshot_20251201-131144.jpg
    94.6 KB · Views: 13
  • infinix-note12-1.jpg
    infinix-note12-1.jpg
    84.9 KB · Views: 13
Nina shida guys,nimezodiwa mahitaji naumwa hata dawa aina Hela bado mengine
nauza simu yangu Infinix note 12 Kwa 140,000
Haina shida ila Ina crack kwenye kioo,ni kubandika protector na cover mpya basi.
Nipo Dar
Whatsapp +255760193578

Sina simu ya ziada kupigia picha ila ni kama uonavyo na pia specifications zake nimscreenshot kwenye simu yenyewe.
Thibitisha kama simu ni yako.

Umenunua wapi ?
 
Kwanini mna fosi watu wote wafanye kile ninyi mnataka? Kwamba hakuna maisha bila siasa huu ni upuuzi kama upuuzi mwingine mwacheni mtu afanye kile anacho jisikia wewe toka umeanza kushabikia siasa imekufikisha wapi?
Hili ndio tatizo, hutayaepuka mateso kama utaendelea kudhani mambo yanaendelea (siasa) hayakuhusu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom