Nauza Samaki aina ya Jodari

Nauza Samaki aina ya Jodari

Sijawahi kupata kesi kuhusu ubao.. ila asante kwa ushahuri, nitatafuta kile cha plastic
Mkuu cha plastiki ndiyo hatari zaidi. Bakia na hicho hicho cha miti. Wananzengo wasikutoe kwenye reli dah!

20250602_153949.png
 
Sijawahi kupata kesi kuhusu ubao.. ila asante kwa ushahuri, nitatafuta kile cha plastic
Hicho ndo hatari hizo plastic achana nae sio mnunuzi hakuna vimbao miti vinaingia sie walaji wa samaki kwa wapemba ndo vibao vyao unmkosha vizuri hana vimbao
 
Wakuu habari

Nina aina hii ya samaki Jodari wadogo.. Ni samaki mwenye stake nyingi kuliko miba.. Ni mzuri na ni mtam sana.

Kama upo hapa Dar, nakuletea mpka ulipo , gharama za usafiri inategemea mahali ulipo.

Bei ni 12000 tu, kwa mmoja

0616274277.

Napatikana Kigamboni

View attachment 3353575View attachment 3353576View attachment 3353577View attachment 3353578
Hao ni Sehewa mkuu miongoni mwa samaki wabaya wa Baharini Jodari ni samaki Nzuri in English Tuna.
 
Kibao Cha mbao ndio salama
Ndio maana hata osama bin laden wakati anatafutwa na marekani alikuwa anatumia vibakuli vya mbao
 
Hizo 'chips' za ubao zina ingia kwenye nyama ya samaki wakati wa kukata kata huyo samaki.
Nadhani zitakuwa hazina madhara hayoo,na ni sawa na vigogo vya butcher.
 
Duh hicho kibao au meza yako unayo katia hao samaki its 'awful' ungeificha ni hatari kwa afya zetu.
Mdomo ulimponza kichwa

Kuharibiana biashara tu jameni

Koromeo muhimu
 
Sewa na Jodari ni samaki wawili tofauti japo ni kama wanafanana (hao ni sewa sio jodari). Jodari ni mtamu kuliko sewa
Hebu achaneni na stori za yupi mtamu zaidi; mention the health benefits of each! Tuzingatie faida za kiafya zaidi kuliko utamu wa mdomoni.
 
Jodari na sehewa ni tafauti ingawa wanafanana umbo. Aliyepewa hadhi kubwa ni jodari.
Kanadi hafanani na jodari wala sehewa. Anafanana na nguru.
Dar watu wanauziwa sehewa na kuambiwa ni jodari na wanauziwa kanadi na kuambiwa ni nguru.
 
Back
Top Bottom