Sehewa sio samaki wa kula aiseeSijakuelewa
Wabaya kivipi ?
Sehewa ni hao samaki ambao wako kwenye picha
Sehewa sio jodari
Ubaya wake wakilala siku moja kama umewatunza kwenye fridge ukiwala wanawasha saana mdomoni hata ukuwakaanga ukawatunza bado wanawasha
Sehewa sio samaki wa kula tunakula sababu ya shida