NAUZA RAUM YANGU MPYA 8.8 Milion

NAUZA RAUM YANGU MPYA 8.8 Milion

Hapana hii ni mpya njoo ukague uone yaaan gari zilikua nyingi sasa hii inauzwa kwa kuwa haina mtumiaji
Mara gari ilikua inatumika na mwanamke mara gari inauzwa sababu imekosa mtumiaji,kua muwazi tu bwana dalali...
 
Mara gari ilikua inatumika na mwanamke mara gari inauzwa sababu imekosa mtumiaji,kua muwazi tu bwana dalali...

Unahitaji gari au unahitaji maneno mkuu
Kama unahitaji gari namba hiyo hapo njoo kagua gari haujaipenda unaondoka sitokishikia bunduki ili ununue
 
Namba c mbona kuna d mbovu kabisa nadhani gari siyo namba
 
Muwe mnaelewaga mada basi umeona nimeweka vyeti hapo

Ukijakuangalia gari nakupa na vyetu uangalie maana watu sijui wamekuwaji siku hizi


Kama ni hivyo basi nitakutafuta na nitakuja na watu wangu wa serikali wakague uhalali wa hivyo vyeti....isije kuwa vya Magomeni nyumba za msajili.
 
Gar mpya kivip?? Gar mpya unaijua lakin au unasema tu,,sema ukwel ktk biashara kwamba gar ipo katika hali nzuri sana sio kusema mpya.... Raum mpya iuzwe milion 8.8 aseeeh
 
HOT DEAL , FURSA MOTO MOTO

Gari inauzwa ina vibali vyote na gari mpya kabisa usichanganywe na nambaC gari ilikua inaendeshwa na Mdada

Full vibali haidaiwi chochote

Bei ni 8.8 milioni Tu
Kwa mteja makini na serious tu apige namba hizi
0655731345
0767831345

Gari ipo KIMARA
379b18ddf3ce9333f64e058dac7cae4a.jpg
e6d956e73b9a8abc40104ce91dc454dc.jpg
a5eef8720822c7a5353251fe5939c11b.jpg
3c42d2fa778be4c81047f5a9fd3659f0.jpg
Kuagiza Japani Gari Kama Hiyo Hadi Kuitoa Bandarini ni 8.M
 
CHJ ni Gari iliyosajiliwa February 2013 mkuu.sio mpya hiyo imetumika zaidi ya miaka minne bongo
 
Kitu iko vizuri lakini siyo mpya kama ulivyosema. Punguza bei zaidi tufanye biashara. Hiyo 8.8 unapata gari mpya kabisa mjini hapa
 
Hivi gari ikiiendeshwa na mwanamke ndiyo inakuwa mpya au mwanamke akiwa nayo haendeshi anaibeba kichwani hii kitu mim huwa siielewi kabisa pengine labda kwa ushamba wangu tu,mwongozo tafadhali
 
Back
Top Bottom