Wataalamu wanasema huku sio kuzuri sana kutangaza biashara coz huwezi jua kama ni biashara kweli au ndo vile kama mnavyojua. Ushauri wangu kwamba kama una biashara usitangazie huku nenda kwenye mitandao mingine ya kijamii mana huku biashara inaweza kukudodea lkn sababu zake ckui ila elewa hvyo.