NAUZA RAUM YANGU MPYA 8.8 Milion

NAUZA RAUM YANGU MPYA 8.8 Milion

Wataalamu wanasema huku sio kuzuri sana kutangaza biashara coz huwezi jua kama ni biashara kweli au ndo vile kama mnavyojua. Ushauri wangu kwamba kama una biashara usitangazie huku nenda kwenye mitandao mingine ya kijamii mana huku biashara inaweza kukudodea lkn sababu zake ckui ila elewa hvyo.
 
Raum mpya huwezi kuuza 8.5ml hiyo in used car na bei yake ikizidi sana 5.5ml
 
Jaman mm natafuta pikipiki aina ya XLR 250 MB 20 ya milion tatu iwekwenyehali nzur tafadhal 0756778350
 
Namba za magari zinawavuruga akili eti eh, ngoja siku ukinunua gari utaelewa kuwa gari sio plate namba.

Ora uwaambie hawa wanakalili vitu hawajui uhalisia
 
Raum mpya huwezi kuuza 8.5ml hiyo in used car na bei yake ikizidi sana 5.5ml

Oo uione gari ndo uje kuandika haya uliyoyaandika mkuu
Tujifunze kuweka akiba ya maneno
 
Wataalamu wanasema huku sio kuzuri sana kutangaza biashara coz huwezi jua kama ni biashara kweli au ndo vile kama mnavyojua. Ushauri wangu kwamba kama una biashara usitangazie huku nenda kwenye mitandao mingine ya kijamii mana huku biashara inaweza kukudodea lkn sababu zake ckui ila elewa hvyo.

Asanteh kwa ushauri mkuu
 
Namba za magari zinawavuruga akili eti eh, ngoja siku ukinunua gari utaelewa kuwa gari sio plate namba.
Mimi kununua gari?
Ninajaza fullscape ya magari makubwa kwa madogo.
Ninachoongelea ni kusema gari used mpya !!!
Mpya itaitwaje?
Tungekuwa na lugha sahihi ya kuelezea gari used tena hapa nchini !!
 
Mimi kununua gari?
Ninajaza fullscape ya magari makubwa kwa madogo.
Ninachoongelea ni kusema gari used mpya !!!
Mpya itaitwaje?
Tungekuwa na lugha sahihi ya kuelezea gari used tena hapa nchini !!
Leo uki-import gari toka Japan yenye 140,000 mileage inapata usajili wa D na kadhalika na yule atakaye-import gari yenye 0 mileage anapata usajili wa D hivi hapo nani ana gari mpya, kwa Tanzania hii.
 
HOT DEAL , FURSA MOTO MOTO

Gari inauzwa ina vibali vyote na gari mpya kabisa usichanganywe na nambaC gari ilikua inaendeshwa na Mdada

Full vibali haidaiwi chochote

Bei ni 8.8 milioni Tu
Kwa mteja makini na serious tu apige namba hizi
0655731345
0767831345

Gari ipo KIMARA
379b18ddf3ce9333f64e058dac7cae4a.jpg
e6d956e73b9a8abc40104ce91dc454dc.jpg
a5eef8720822c7a5353251fe5939c11b.jpg
3c42d2fa778be4c81047f5a9fd3659f0.jpg


Vyeti fake vinaliza watu bila kutegemea.....namba mtaisoma mwaka huu kwa kweli.
 
Nikuulize wewe labda,,kwani tofauti ya gari mpya na used ni ipi

Asilimia 99% ya gari binafsi zinazoingizwa hapa tz ni used kutoka nje ila tunaita mpya japo ni second hand
 
Back
Top Bottom