Nauza puppies aina ni bulldog

Nauza puppies aina ni bulldog

Mkuu kwani si kasema vinafanana? Bongo kwanini kusiwepo mashuka, vitanda na foodie za pets? I believe vipo hivyo

hivyo vitu ukitaka vipo kwa dr sinare karibia na best bite,dr kowelo/victoria vet care na wao wanaagizia kwa uchache ksbb ya wateja ni wachache.na mm ndio msambazaji ABCL
 
Haya sasa mliokuwa mnataka picha hizo za mama na watoto
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    41 KB · Views: 134
  • image.jpg
    image.jpg
    36.8 KB · Views: 127
Duh! asante kwa picha nitakuja nunua wakiwa na miezi 3 kama nikiwakuta....
 
Hapa hakuna mshindi. Vitendo vya kuua havitatufikisha mbali. Kumbuka huko kwenye vikosi vya majeshi kuna ndugu zao watakao kufa. Hapo ujue jeshi litaasi. Sasa mimi na wewe tutakuwa wapi. Kumbuka watakao aasi wanamafunzo na silaha. Maadui wetu watawaunga mkono kwa kuwapa silaha na mbinu za kupambana.
Jambo hili linahitaji busara wa hali ya juu.

Mungu ibariki Tanganyika.
 
Wewe kweli hujui puppies/mbwa. Hao unataka kuuza bado ni wadogo sana. hata chanjo ni baada y kutimiza wiki 4.Na kuanza kuuza lazima wafikishe umri atleast 8 weeks!
Unless unambie hiyo picha ni kitambo kidogo.
Anyway, Mimi ni mteja wako tayari (Nina Doubermann), nataka Bulldog jike.
plse PM kwa mazungumzo zaidi
 
Lakini hao si Bulldogs. Mama yao ana sura nyembamba kama ya msomali/Mtusi!
Bulldogs unawajua kweli?
 
Lakini hao si Bulldogs. Mama yao ana sura nyembamba kama ya msomali/Mtusi!
Bulldogs unawajua kweli?
Baba yao ndiyo bulldog pure hata huyo mama ni bulldog kiasi sema kakonda sababu ya uzazi tu
 
Back
Top Bottom