mzushi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 3,094
- 4,256
nauza puppie aina ya bulldog .wamepata chanjo zote.angalizo unawaona kwenye picha si wenyewe nimeshindwa kuchukua picha maana bado wachafu na mama yao mkali kidogo siwezi kuwagusa .bei inaanzia laki tatu na nusu.karibuni
duuuh mambo ya siasa hayo.
duuuh mambo ya siasa hayo.
Nauza puppie aina ya bulldog .wamepata chanjo zote.Angalizo unawaona kwenye picha si wenyewe nimeshindwa kuchukua picha maana bado wachafu na mama yao mkali kidogo siwezi kuwagusa .bei inaanzia laki tatu na nusu.Karibuni
Yaani vimependeza sana isee!
Mkuu soma angalizo...hivyo kwenye picha vya kizungu...bongo mbwa ana blanket?!! Kwanza vya kwake mama mbwa ana asili ya chui jamaa hathubutu hata kuvisogelea..
Mkuu kwani si kasema vinafanana? Bongo kwanini kusiwepo mashuka, vitanda na foodie za pets? I believe vipo hivyoMkuu soma angalizo...hivyo kwenye picha vya kizungu...bongo mbwa ana blanket?!! Kwanza vya kwake mama mbwa ana asili ya chui jamaa hathubutu hata kuvisogelea..
Kwani mtoto wa kizungu akizaliwa Tanzania atakuwa mweusi kama wewe ,acha kuniharibia biashara bana ,mbona watanzania hatupendani .Mkuu soma angalizo...hivyo kwenye picha vya kizungu...bongo mbwa ana blanket?!! Kwanza vya kwake mama mbwa ana asili ya chui jamaa hathubutu hata kuvisogelea..
Nauza puppie aina ya bulldog .wamepata chanjo zote.Angalizo unawaona kwenye picha si wenyewe nimeshindwa kuchukua picha maana bado wachafu na mama yao mkali kidogo siwezi kuwagusa .bei inaanzia laki tatu na nusu.Karibuni
Mkuu nauza watoto picha ya mama yao unataka umfanye nini