Nauza pikipiki million 4

Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Kama huna shida iweke stoo nunua nyingine kubwa zaidi ya hiyo.
 
Ungekuwa na pesa ungekuwa unamiliki gar. Post zako za JF zimejaa mada za pikipiki tu. Na inawezekna wewe ni bodaboda maana hata 4m4 hukumaliza.
Dah hunijui vizuri, nimesema nauza kwa kuwa mimi si mpenzi wa pikipiki kwanza siezi kuendesha
 
Pole ya nini mbona akina manji, MO, wa merithi, ujinga ni pale mmezaliwa wawili, baba kaacha nyumba nne, harafu we ukajenge tena
Wewe hata akili zako hazipo sawa visent vya urith vimekuzuzua ila vitaisha kma upepo vile.
 
Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Kwenu hakuna shida ?!
Uko nchi gani mkuu ?
Sisi huku Bongo utawala huu wa "Mzee baba hali ngumu mpaka wale tuliowaita matajiri sasa wanaishi kama mashetani!
 
Usiingie siasa hapa
Kwenu hakuna shida ?!
Uko nchi gani mkuu ?
Sisi huku Bongo utawala huu wa "Mzee baba hali ngumu mpaka wale tuliowaita matajiri sasa wanaishi kama mashetani!
 
Mbona kila nikisoma huu uzi nasikia harufu ya vitunguu swaumu?!
Inaonekana mleta mada ni "Biriani"
Ngoja nimpigie Konki master
 
Unadhani boxer hiyo, acha ujinga wewe..
 
Jibu swali, kwann post zako karbu zote ni pikipiki tu?
Ukisoma kichwa cha habari Nimesema nauza pikipiki nilipewa na boss na mimi siezi kuendesha, tatizo liko wapi
 
Mkuu kwanini mtu akikwambia hana shida roho yako inaumia sana?
Hakuna binadamu asiyekuwa na shida. Tunatofautiana levels tu hata wakina bill nao wanashida zao sembuse wewe kapungu ndyo umepata vsent vya urith unakuja kuvimba humu kuwa huna shida.
 
Hakuna binadamu asiyekuwa na shida. Tunatofautiana levels tu hata wakina bill nao wanashida zao sembuse wewe kapungu ndyo umepata vsent vya urith unakuja kuvimba humu kuwa huna shida.
Haya basi nna shida, nenepa wewe na roho yako
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…