Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,595
Njaa unayo.Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Kama usingekua na njaa usingeuza 4m.
Ungesema mwenye chenji anipe nimpe pikipiki au ungempa jamaa yako anayepata shida ya usafiri, we njaa kali tu.
Nasubiri povu

