Nauza pikipiki million 4

Nauza pikipiki million 4

Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Kama huna shida iweke stoo nunua nyingine kubwa zaidi ya hiyo.
 
Ungekuwa na pesa ungekuwa unamiliki gar. Post zako za JF zimejaa mada za pikipiki tu. Na inawezekna wewe ni bodaboda maana hata 4m4 hukumaliza.
Dah hunijui vizuri, nimesema nauza kwa kuwa mimi si mpenzi wa pikipiki kwanza siezi kuendesha
 
Pole ya nini mbona akina manji, MO, wa merithi, ujinga ni pale mmezaliwa wawili, baba kaacha nyumba nne, harafu we ukajenge tena
Wewe hata akili zako hazipo sawa visent vya urith vimekuzuzua ila vitaisha kma upepo vile.
 
Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Kwenu hakuna shida ?!
Uko nchi gani mkuu ?
Sisi huku Bongo utawala huu wa "Mzee baba hali ngumu mpaka wale tuliowaita matajiri sasa wanaishi kama mashetani!
 
Usiingie siasa hapa
Kwenu hakuna shida ?!
Uko nchi gani mkuu ?
Sisi huku Bongo utawala huu wa "Mzee baba hali ngumu mpaka wale tuliowaita matajiri sasa wanaishi kama mashetani!
 
Mbona kila nikisoma huu uzi nasikia harufu ya vitunguu swaumu?!
Inaonekana mleta mada ni "Biriani"
Ngoja nimpigie Konki master
 
Ifanyie service kwanza ndo uuze mana inaonekana imechoka sana na inahitaj matengenezo iyo...kwa haraka haraka apo ilipo haina...
Matairi
Rims zimeshapinda
Shockups zimekwisha
Timing chain imekwisha
Taa zimekwisha
Dashboard imekwisha
Injini imeguswa iyo
Brake lines zmekwisha
Bampa zimekwisha

Rekebisha kwanza hivo alafu ndo uuze ila bei haitafika M 4
Unadhani boxer hiyo, acha ujinga wewe..
 
Mkuu kwanini mtu akikwambia hana shida roho yako inaumia sana?
Hakuna binadamu asiyekuwa na shida. Tunatofautiana levels tu hata wakina bill nao wanashida zao sembuse wewe kapungu ndyo umepata vsent vya urith unakuja kuvimba humu kuwa huna shida.
 
Hakuna binadamu asiyekuwa na shida. Tunatofautiana levels tu hata wakina bill nao wanashida zao sembuse wewe kapungu ndyo umepata vsent vya urith unakuja kuvimba humu kuwa huna shida.
Haya basi nna shida, nenepa wewe na roho yako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom