Nauza pikipiki million 4

Nauza pikipiki million 4

Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Ungekuwa huna njaa, usingekubali kuajiriwa na huyo unayesema boss aliyekupa! Ungenunua yako mwenyewe mpya na kisha kuajiri wengine...!
Pia unavyoanza kueleza masuala ya nyumbani kwenu inaonyesha hujakomaa, bado una utoto unaokusumbua, toka hapo kwa wazazi hama ukajitegemee wewe!
 
Ila kwetu mashemeji maskini hatuwataki, vinyozi, wanaofanya kazi za udereva, wauza chips, mafundi simu, nooo
Huyu jamaa inaonekana alizaliwa bahati mbaya,bao la kukuzaa wewe ilitakiwa lipigiwe ny....o tu.mwanaume mzima unajigamba hivyo utafikili gasho
 
Mwana hii ni kama korosho, simbembelezi mtu, la nitainunua mwenyewe
 
Kauli zako tu Zinaonyesh we ni mtoto mwenye mababa wengi, mtoto aliyezaliwa na wazazi wawili hawezi kuwa na Kauli chafu hivyo, tumeanza kuchart na watu hapa more than 2 or 3hours ago na hakuna aliyetukana,
Huyu jamaa inaonekana alizaliwa bahati mbaya,bao la kukuzaa wewe ilitakiwa lipigiwe ny....o tu.mwanaume mzima unajigamba hivyo utafikili gasho
 
Acha majigambo yanayosababisha kutoheshimika uone kama kuna mtu atakutusi
Kauli zako tu Zinaonyesh we ni mtoto mwenye mababa wengi, mtoto aliyezaliwa na wazazi wawili hawezi kuwa na Kauli chafu hivyo, tumeanza kuchart na watu hapa more than 2 or 3hours ago na hakuna aliyetukana,
 
Ukiitaji piki piki kubwa nenda Zenji huko utazikuta adi zile ulizo zoea ku google tu.

Mkuu huu mzigo iyo bei unataka kuliza mtu kilio kikubwa sana hapo akiinunua bado hawezi iweka njiani akawa salama kumbuka piki piki ni 'safety & freedom'

Matenenezo hapo si chini ya 1.7Mil yaani hapo hadi ikae mkao ni kama Milion 5.7 hivi embu iuze angalau Milion 3.4 kuwe na 'mutual benefit' mkuu
 
Wapi bhana....hayo mapikipiki mabovu na kuyatunza ni shida spea zake. Limekushinda kulihudumia unataka umbambikie mtu. Uko nyuma umelifunga na mpira cjui nin kmeachia
We una matatizo limu zake hazijapinda, ulivyosema vyote siyo sawa, mkuu au we kwenye picha umeona inatembea , ila hamkulazimishwa kununua, au mimi sikukwambia unipe ushauri,, watu wa uswahilini mna matatizo sana
 
Huyu jmaa ni kpuku moja hivi na mshamba sana. Hajui hata kuquote comment anajifanya mjanja wa kishua. Mfyuuu
 
Ungekuwa huna njaa, usingekubali kuajiriwa na huyo unayesema boss aliyekupa! Ungenunua yako mwenyewe mpya na kisha kuajiri wengine...!
Pia unavyoanza kueleza masuala ya nyumbani kwenu inaonyesha hujakomaa, bado una utoto unaokusumbua, toka hapo kwa wazazi hama ukajitegemee wewe!
Huyo boss wake sio bure alimla tigo/ umber rutty ndyo akamhonga na pikipiki mtoto wa mama uyo.
 
Ila kwetu mashemeji maskini hatuwataki, vinyozi, wanaofanya kazi za udereva, wauza chips, mafundi simu, nooo
paleka kule.... una tafuta slope Dada aolewe na tajiri ili unufaike sio... upewe tena kagari na nyumba kama bosi alivyo kupa... bado una ishi home alafu una piga kelele mjini... nenda katengeneze pesa yako kwa kuuza hata kibanda cha chips sio kumtengenezea mwingine pesa kwa kukuajiri na kumuita boss akiondoka ana kuonga pikipiki kwa shukrani ya kumla Dada yako...

masikini wa akili...
 
Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Usingekuwa na njaa usingekuja kutoa povu hapa jamii forum , ungekaa nayo tu
 
Kukonki ndo nini ka si Sina marindA ili Hali mimi ni mwanaume, una uhakika gani na mshua wako mkuu?
 
Kumbe libovu limekushinda. Alfu kma vle picha za kudownload unajitapa tu hmu
Screenshot_20181125-130845.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom