Huna shida ya kuuza umekuja kutulingishia...pole sanaNdiyo maana mpya ni milioni 22 pale ktm, anaetaka aende akifika anipigie simu, ni karibu na home, ktm wapo masaki mtaa wa uporoto mi niko mtaa wa kahama
Ss unafanya kazi ili iweje labdaUsihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Kama kuna dada kwenu hajaolewa niambie !Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
Kama hauna shida igawe umeiletea nini huku?Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
kanunua kwenye mnada wa kampuni anataka ale cha juuWewe upewe bure halafu uje uuze 4 millions??!
Hakuna mtu ambaye hana shida dunia hii, ungekuwa huna shida ungeigawa bure 😏Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa