Nauza pikipiki million 4

Nauza pikipiki million 4

Mkuu una maneno makali daaa, ila haina noma, kila mtu hurithi tabia fulani toka kwa wazazi wake
paleka kule.... una tafuta slope Dada aolewe na tajiri ili unufaike sio... upewe tena kagari na nyumba kama bosi alivyo kupa... bado una ishi home alafu una piga kelele mjini... nenda katengeneze pesa yako kwa kuuza hata kibanda cha chips sio kumtengenezea mwingine pesa kwa kukuajiri na kumuita boss akiondoka ana kuonga pikipiki kwa shukrani ya kumla Dada yako...

masikini wa akili...
 
Dah mna maneno makali
Njaa unayo.
Kama usingekua na njaa usingeuza 4m.
Ungesema mwenye chenji anipe nimpe pikipiki au ungempa jamaa yako anayepata shida ya usafiri, we njaa kali tu.

Nasubiri povu
 
Usihisi nauza kwa kuwa nna njaa, siye kwetu hatuna shida, nauza kwa kuwa mi si mpenzi wa pikipiki Kubwa na sipendi, mkuu sisi nyumbani shida hakujui kabisaaaaa
utakuwa muhaya wewe, nani kaongelea shida?
ni suala kuwaelimisha wadau kwani wengi wanajua toyo na sio vitu vikali kama hivyo
 
utakuwa muhaya wewe, nani kaongelea shida?
ni suala kuwaelimisha wadau kwani wengi wanajua toyo na sio vitu vikali kama hivyo
Hawatoi nafasi ya kuelemishwa, it getting worse, more foolish they bcome
 
Hawatoi nafasi ya kuelemishwa, it getting worse, more foolish they bcome
wewe mgeni wa jf?
usitishwe na ujuaji wa humu.
utakuta mtu yuko kwenye chumba cha giza wee lkn anaporomosha madongo utafikiri ni mtoto wa Obama, kumbe choka mbayaa
 
wewe mgeni wa jf?
usitishwe na ujuaji wa humu.
utakuta mtu yuko kwenye chumba cha giza wee lkn anaporomosha madongo utafikiri ni mtoto wa Obama, kumbe choka mbayaa
Duuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom