Yaani mmeshindwa kuelewa kuwa hii ni joke? Jsaudi, kumbuka kuwa JF imeingiliwa na ma"great thinkers" ambao a simple joke kama hii mpaka sasa hawaelewi, hata baada ya kuwaambia kuwa unalijuwa jukwa la biashara lakini hii yako umeona uweke huku, bado tu hawajakuelewa. Hii ndio the way of thinking ya Watanzania walio wengi kwa sasa, hawanishangazi na ndio maana kila wanachoambiwa wao hufata kama misukule bila hata ya kuelewa maana.
Eeh, nyinyi misukule, Jsaudi alikuwa anajoke ili muone jina la hiyo pikipiki, atauza bila kuwawekea bei?