hao pitbul ni wananguvu sana lakin tatizo yana vichwa vigumu sana kuelewa na mepesi kusahau hayafai nakwambia ni hatari kuyafuga kwa maisha yetu hapa bongo..Yani ni halina akili kabisa Nikupe ushuhuda kuna siku mlango wa banda lao sikufunga vizuri, nilikua na mbwa watatu mmoja pitbul na wawili ni GS.. sasa G.S Siwafungi na mnyororo wanakaa tu kwenye banda lao. sasa yule fala pitbul alikata mnyororo na kuuwa Bata wangu kama watatu wale G.S Walimshambulia kwa kufa na kupona walimjeruhi vibaya sikuhiyo hapo mtaani hapakukalika walikuja askari wakampiga risasi , hata mimi nilishukuru kwakwel maana kuna kipindi alikua ananizingua hadi mimi nnaye mfuga