Nauza na kununua mbwa aina ya pitbull

Nauza na kununua mbwa aina ya pitbull

maxresdefault.jpg


Mtaa wenye hawa viumbe hakatizi mtu ......

Kula yao ni balaa
Hawa wanyanyua vyuma mbona misuli hivyo?
 
Boerboel nawajua
Ni mbwa wa kisouth
Ni wazembe na si ngangali kama pitbull
Pitbul aina gan uliokuwa nae
Maana nilienae anakichwa kikubwa cha boerboel mara moja na musu


Usipende kuropoka mkuu. Boerboel ni zaidi ya pitbull, si wazemb hata kwa chembe. Ukimfuga awe mjinga atakuwa mjinga kama mbwa wengine tu. Nilikuwa na red nosed pitbull niliwanunua kwa jamaa fulani hivi kule Zambia
 
Nilikuwa nao ila walikufa baada ya kuingiliwa na nyuki kwenye zizi lao. Kwa sasa nina Boerboel 6, hawa ni zaidi ya pitbull na wananifanya nisijutie kupoteza wale mbwa wangu wa mwanzoni (pitbull).
Hawa wazembe sana
Hawako strong kama pitbul
 
Mimi jirani yangu anao pitbull na sherphed yani pitbull akiamua kufunga mtaa mzima anaweza ndani ya nusu saa wanakichwa kikubwa balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kichwa chake ndo kinanishangaza asee
Wapi apo???
 
Back
Top Bottom