Nauza na kununua mbwa aina ya pitbull

Nauza na kununua mbwa aina ya pitbull

Usipende kuropoka mkuu. Boerboel ni zaidi ya pitbull, si wazemb hata kwa chembe. Ukimfuga awe mjinga atakuwa mjinga kama mbwa wengine tu. Nilikuwa na red nosed pitbull niliwanunua kwa jamaa fulani hivi kule Zambia
23840bdc466211fd5344727b89f4552a.jpg

Si huyo alielala[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa wazembe sana
Hawako strong kama pitbul


Mbwa yeyote anaweza kuwa mzembe kama unamfuga katika mazingira ya kijinga, hawa wangu (boerboel) ni mwisho. Wakali mno na wako very strong (ni wakubwa mara mbili zaidi ya pitbull), pia wako very smart na aware na majukumu yao. Pitbull ni wazuri ila boerboel ni mwisho wa matatizo, usujidanganye mkuu.
 
Mbwa yeyote anaweza kuwa mzembe kama unamfuga katika mazingira ya kijinga, hawa wangu (boerboel) ni mwisho. Wakali mno na wako very strong (ni wakubwa mara mbili zaidi ya pitbull), pia wako very smart na aware na majukumu yao. Pitbull ni wazuri ila boerboel ni mwisho wa matatizo, usujidanganye mkuu.
Pitbul si wakubwa na sio wakali wa kubwekabweka kila mda ila wanapigana sana
 
Pitbul si wakubwa na sio wakali wa kubwekabweka kila mda ila wanapigana sana


True lakini boerboel mkuu kule south wanafugwa na wakulima kwa ajili ya kupambana na chui na simba na ndiyo maana niliwanunua wangu kwa ajili ya nyumbani na nikienda shamba nawachukua baadhi (2). Naoma jibu umelipata hapo.
 
True lakini boerboel mkuu kule south wanafugwa na wakulima kwa ajili ya kupambana na chui na simba na ndiyo maana niliwanunua wangu kwa ajili ya nyumbani na nikienda shamba nawachukua baadhi (2). Naoma jibu umelipata hapo.
Nimekuelewa mkuu
 
Sasa kama unauza na kununua hapo si ushamaliza kila kitu.unajiuzia asubuh jioni unanunua toka kwako tena.inakuwa mzunguko huo huo na wala hupati hasara.jiuzie tu mwenyewe uendelee na biashara yako
 
Sasa kama unauza na kununua hapo si ushamaliza kila kitu.unajiuzia asubuh jioni unanunua toka kwako tena.inakuwa mzunguko huo huo na wala hupati hasara.jiuzie tu mwenyewe uendelee na biashara yako
Kuna purity ninayoitaka
 
Sasa kama unauza na kununua hapo si ushamaliza kila kitu.unajiuzia asubuh jioni unanunua toka kwako tena.inakuwa mzunguko huo huo na wala hupati hasara.jiuzie tu mwenyewe uendelee na biashara yako
Umewahishwa kutoka hospitalini huku wewe ni bado mgonjwa
 
Weken namba hao boerboel wazuri Sana na pit bull
Loop
 
Hawa ni kwa akili na intelligence ila kwa ubabe asogei kwa pitbul

Ndiyo maana hata mana jeshi na polisi hawawatumii Pitbulls kwa sababu hawana akili na hawako intelligent. Ubabe bila kuwa akili na inteligensia, haipendezi kabisa.
 
Back
Top Bottom