Nauza mihogo, shamba liko Mkuranga

Nauza mihogo, shamba liko Mkuranga

Frank Lexis

Member
Joined
Mar 30, 2021
Posts
17
Reaction score
2
JE WAJUA?
Takwimu zime onyesha Miogo ni miongon mwa zao pendwa na lenye faida pia kibiashara Tanzanian na hilo bac inaonyesha Katika Hector moja ya miogo unawez ukatoa mashina 5000 ambayo faida yake ya chini Katika Kila shina moja 1000 hadi 2000 jumla ya mashina yote total ya Mil 5 hadi Mil 10 nahiyo faida ukiwa kam mkulima unawez kuipata ukiwa shamba au ukaamua kuuza kwa kiroba kidog kati Shiling 25 elfu hadi 30
Na pia asilimia 90% ya mazao ya kibiashara yana stahimiri ardhi mfano,mpunga nyanya hoho mahindi migomba ndizi sukari ,pilipili etc......?
Na maeneo ambayo unawez fanya hvyo yapo karibu na((PWANI) Wilaya ya mkuranga Mji wa dar es salaam
Weka order kwa wahitaji wa mashamba Bei sawa na Bureeee!
-----> KUKODISHA MASHAMBA
----->KUNUNUA MASHAMBA
----->KUNUNUA MIHOGO
----->contact me +255625400299
82e2637608c3607f21fd806739e5d39b.jpg

View attachment 1738278
View attachment 1738522View attachment 1738523View attachment 1738524
View attachment 1738530View attachment 1738531View attachment 1738532
 
--->KUKODISHA MASHAMBA
--->KUNUNUA MASHAMBA
---->MAHITAJI YA MAZAO
FB_IMG_16169280493529546.jpg
1617049474435.jpg
FB_IMG_16170330676687311.jpg
 
Tatizo hakuna tofauti kati ya mtu anaye bet na mkulima wa Tanzania. Yaani muda wowote mkeka unachanika.
 
Sio kwel boss kilimo hakimtupi mtu ww mwenywew ume stick vip kweny kilimo chako
Mimi nipo tu huku Usambaani nakunywa tu pombe ya mnazi mkuu. Kilimo kimenishinda kabisa! Mvua hazitabiriki! Pembejeo bei iko juu! Hakuna masoko ya uhakika ya baadhi ya mazao! Bora ninunue tu chakula.
 
Mimi nipo tu huku Usambaani nakunywa tu pombe ya mnazi mkuu. Kilimo kimenishinda kabisa! Mvua hazitabiriki! Pembejeo bei iko juu! Hakuna masoko ya uhakika ya baadhi ya mazao! Bora ninunue tu chakula.
Pamoj Mzee inaonekana hauna Uthubutu
 
Back
Top Bottom