ituganhila
Member
- Aug 25, 2009
- 24
- 0
Habari wana jamii,
mimi ni mkulima ninao mchele mwingi nauza; mchele huu umelimwa hapahapa Tanzania. Kutokana na wingi wa mchele nilionao, utafaa kwa watu wengi kama shule na vyuo ambako wanafunzi ni wengi zaidi.
Kwa yeyote anayehitaji mchele kwa kiasi kikubwa tuwasiliane tafadhali. Aidha nakaribisha ushauri.
Ituganhila
mimi ni mkulima ninao mchele mwingi nauza; mchele huu umelimwa hapahapa Tanzania. Kutokana na wingi wa mchele nilionao, utafaa kwa watu wengi kama shule na vyuo ambako wanafunzi ni wengi zaidi.
Kwa yeyote anayehitaji mchele kwa kiasi kikubwa tuwasiliane tafadhali. Aidha nakaribisha ushauri.
Ituganhila