Wazobora
Member
- Jun 14, 2019
- 13
- 7
Habari zenu wanajf. Nitumie fursa hii kuwatangazia kuwa ninauza maziwa mgando kwa bei ya tsh1,500/= kwa lita moja maziwa yetu ni mazuri hayaja chakachuliwa kwa namna yoyote ile. Makazi yangu ni mkoa wa Kagera. Kama upo mkoa tofauti na mkoa wa Kagera itakupasa kulipia gharama za usafirishaji.
Ninauza kuanzia lita 100 ambayo ni sawa na dumu 5 za lita 20 kwa maana hiyo nauza kwa wateja wa jumla tu.
Mazungumzo yapo kwa wenye kuhitaji zaidi ya lita 200 ambayo ni sawa na dumu 10 za lita 20.
Kwa mawasiliano zaidi nambari zangu ni 0689031284
Karibuni sana na ahsanteni sana
Nyegera....
Ninauza kuanzia lita 100 ambayo ni sawa na dumu 5 za lita 20 kwa maana hiyo nauza kwa wateja wa jumla tu.
Mazungumzo yapo kwa wenye kuhitaji zaidi ya lita 200 ambayo ni sawa na dumu 10 za lita 20.
Kwa mawasiliano zaidi nambari zangu ni 0689031284
Karibuni sana na ahsanteni sana
Nyegera....