ist mnazionea sanaUlaji wake ni wakawaida tu japokua huwezi kulinganisha na ulaji wa ist sema mark 2 ni gari ngumu sana
Me nilimpa ofa yangu akapuuzia, Nasubiri Ashushe bei kidogo Maana Hali ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Siwez kuuza kwa iyo bei unayotaka katafute yanayouzwa kwa bei iyo uzuri gari naendelea kutembeleaMe nilimpa ofa yangu akapuuzia, Nasubiri Ashushe bei kidogo Maana Hali ni ngumu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza gari, mark 2 grande gx 110
Eng vvti-beams
Bei milioni 6.9
Inapatikana Kimara Mwisho
0753567696
Gari Ni yangu hakuna udalali
View attachment 1276574View attachment 1276575View attachment 1276576View attachment 1276577View attachment 1276578
Hand brake za gari za Mark II na jamii hiyo zinakaa chini karibu na brakeJombaa RRONDO hujambo.
Aisee umeona dashboard ya hiyo gari hapo kwa dereva. Navojua handbrake inakuaga pembeni hapo ya gearbox. Mbona siioni?
Halafu hii ni gari ya pili sioni handbrake.
Ni kwamba kuna gari zingine hazina handbrake ama handbrake zake ziko sehemu nyingine tofauti na hapo kati kati ya siti za mbele?