Nauza Mark 2 Grande GX 110

Jombaa RRONDO hujambo.
Aisee umeona dashboard ya hiyo gari hapo kwa dereva. Navojua handbrake inakuaga pembeni hapo ya gearbox. Mbona siioni?
Halafu hii ni gari ya pili sioni handbrake.

Ni kwamba kuna gari zingine hazina handbrake ama handbrake zake ziko sehemu nyingine tofauti na hapo kati kati ya siti za mbele?
Mkuu hand brake ya gari hizo inakaa chini pembeni ya brake pedal
 
Back
Top Bottom