Itakula mpaka utatamani kuitia mafuta ya kulaNasikia watu wanasema eti GX100 ZINAKULA MAFUTA SANA, HILO LINA UKWELI AU STORY?
Mkuu hand brake ya gari hizo inakaa chini pembeni ya brake pedalJombaa RRONDO hujambo.
Aisee umeona dashboard ya hiyo gari hapo kwa dereva. Navojua handbrake inakuaga pembeni hapo ya gearbox. Mbona siioni?
Halafu hii ni gari ya pili sioni handbrake.
Ni kwamba kuna gari zingine hazina handbrake ama handbrake zake ziko sehemu nyingine tofauti na hapo kati kati ya siti za mbele?
Hivi wanaposema inakula Sana mafuta huwa wanamaanisha Nini?Ulaji wake ni wakawaida tu japokua huwezi kulinganisha na ulaji wa ist sema mark 2 ni gari ngumu sana
Hand brake = Parking BrakeHand brake za gari za Mark II na jamii hiyo zinakaa chini karibu na brake
Yaani inaweka mafuta kwenye tanki afu inaanza kuyatafuna na kuyameza ili gari litembee. Uzuri wake inakula lakini hainyi bali inajamba moshi...mpaka mwisho wa safari... Hii faida yake kubwa ni kwamba unapunguza gharama ya matumizi ya choo.
Mkuu huwezi kuelewa kama unamiliki gari zile ndogo ndogo kama vitz na paso, jaribu tu siku moja ununue kama hii wanaitangaza hapa utapata jibu la swali lako rafiki.
Iko mil 4 cash ni PM KiongoziNauza gari, mark 2 grande gx 110
Eng vvti-beams
Bei milioni 6.9
Inapatikana Kimara Mwisho
Kwa mawasiliano ni pm namba yangu imefungiwa na nida
Gari Ni yangu hakuna udalali
View attachment 1276574View attachment 1276575View attachment 1276576View attachment 1276577View attachment 1276578