anzisha uzi wako!mimi ninayo nauza 5m
Mimi hii ndiyo ninayoijua. Uko sahihi 100%Footbrake unakanyaga kuengage na kutoa unakanyaga zaidi
hapa hapa tutabananaanzisha uzi wako!
uzi ufungwe maana ushalinunua, au na ww unarefusha uziWatu wasio na pesa bana, kazi kurefusha nyuzi tu. Si mnunue uzi ufungwe tuendelee na mambo mengine.
HahaaWatu wasio na pesa bana, kazi kurefusha nyuzi tu. Si mnunue uzi ufungwe tuendelee na mambo mengine.
Hali ngumu Kweli, tangu November mpaka Leo Haijatoka? Ukifika 3.5m nistue Mkuu
Aisee! m 3.5, tena namba d hiyo gari, huwezi pataHali ngumu Kweli, tangu November mpaka Leo Haijatoka? Ukifika 3.5m nistue Mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora umenisaidia kumjibuAisee! m 3.5, tena namba d hiyo gari, huwezi pata
Ni kweli kabisa gari lolote chakula chake ndio mafuta ili liweze kutembea kulingana na ukubwa wa injini ya gari