mchakachuaji192
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 366
- 68
Wadau kama kuna mtu au hoteli inahitaji kuku wa nyama tuwasiliane ninao kuku 600, wapo dar, kwa maelezo zaidi nicheki kwa namba +255655393035
wadau kama kuna mtu au hoteli inahitaji kuku wa nyama tuwasiliane ninao kuku 600, wapo dar, kwa maelezo zaidi nicheki kwa namba +255655393035
mchakachuaji192 mkuu mimi naogopa jina lako hili, naogopa kuchakachuliwa. kuna msemo wa kihaya unasema "eibara lita nyinalyo" ukiwa una maanisha "jina linaweza kumharibia mwenye nalo"Wadau kama kuna mtu au hoteli inahitaji kuku wa nyama tuwasiliane ninao kuku 600, wapo dar, kwa maelezo zaidi nicheki kwa namba +255655393035
4500 kwa uzito gani?
King Kong mmoja naweza kuuza bt si kwa bei hiyo cozi hiyoni bei ya jumlaMkuu mtu anaweza kununua hata m1 kwa ajili ya nyama choma au ni kwa hotel? Weka kilo hili nikutafutie soko kubwa,kuku wanyama ndo hao weupe wanaofugwa kwenye mabanda na mataataaa
mchakachuaji192 mkuu mimi naogopa jina lako hili, naogopa kuchakachuliwa. kuna msemo wa kihaya unasema "eibara lita nyinalyo" ukiwa una maanisha "jina linaweza kumharibia mwenye nalo"