Soko la kuku wa nyama bloiler kwa Mwanza lipoje?

Tuo Tuo

JF-Expert Member
Sep 3, 2013
504
874
Salute!

Kwa wafugaji wa kuku wa nyama Dar soko ni rahisi sana tofauti na mikoani ambapo mtu hulazimika kuuza reja reja hadi kuku watapoisha.

Kwa Dar una option mbili:

1. Reja reja ambapo bei huwa 7000-7500.

2. Kuuza kwene chama cha kuku hapa utauza kwa 6000.

Faida ya kuuza kwenye chama wanachukua kuku wote hata kama unao 300. Hivyo huwezi pata hasara.

Swali je, kwa Mwanza Soko la kuku broiler limekaaje? kuna vyama vya kuku ambacho unaweza uza jumla?

Mi nimgeni, nipeni maelekezo.
 
Salute!
Kwa wafugaji wa kuku wa nyama dar soko ni rahisi sana tofauti na mikoani ambapo mtu hulazimika kuuza reja reja had kuku watapoisha.
Kwa dar una option mbili
1.Reja reja ambapo bei huwa 7000-7500
2.kuuza kwene chama cha kuku hapa utauza kwa 6000
Faida ya kuuza kwenye chama wanachukua kuku wote hata kama unao 300.Hivo huwezi pata hasara.

Swali je

Kwa mwanza Soko la kuku broiler limekaaje??
kuna vyama vya kuku ambacho unaweza uza jumla.

Mi nimgeni nipeni maelekezo
 
Duh... Mwanza wanaokula broiler on a daily wanahesabika.

Ndio watu wanafuga but mimi sijaona wengi sana.

Most of them wanafuga wa mayai halafu wakichoka wanawapiga bei.

Most natives wa Mwanza ni heavy feeders, kale kakuku unakamaliza mwenyewe na bado inahitajika ugali wa kusakafia.

Lakini look around, unaeza pata market zaidi
 
Ushakosea step ya kwanza ya mradi, umefanya uzalishaji na hujui soko. Mwanza siijui so nakupa back up plan endapo umekosa hili unalotafuta, inahitaji muda ila ni endelevu.

Uza kuku kadhaa tafuta vifaa kama jiko, ndoo, sahani, vikombe, chupa ya chai. Bakiza mtaji kidogo wa kuanzia kununua maziwa, ndizi, mihogo, tangawizi, kahawa, mafuta ya kupikia na mkaa.

Tafuta location yenye watu wengi wanaopita hasa intersections pembeni ya vibarani preferably kuwe na baa za karibu. Tafuta mama mpe kila kitu kazi yake kukaanga na kuuza hivyo nilivyotaja. Siwezi kukupa estimations atauza kuku wangapi kwa siku ila kila siku atauza.

Sasa multiply hicho unachofanya kwa mama mmoja kifanye kwa mama kadhaa kadri unavyoweza. Hakuna haja ya kibanda wala kibari. Unaweza uza kuku kadhaa kwa siku na wengine ukauza kwa kwa njia unayotafuta hapa.

Chukua ushauri huu kama wewe ni mjasiriliamali, kilimo na ufugaji usipojumlisha na ujasiriamali utatia huruma endapo soko la awali litafeli.

Angalizo: Kitu chochote huwa ni chepesi kwenye maandishi, sio kwenye utekelezaji.
 
Ushakosea step ya kwanza ya mradi, umefanya uzalishaji na hujui soko. Mwanza siijui so nakupa back up plan endapo umekosa hili unalotafuta, inahitaji muda ila ni endelevu.

Uza kuku kadhaa tafuta vifaa kama jiko, ndoo, sahani, vikombe, chupa ya chai. Bakiza mtaji kidogo wa kuanzia kununua maziwa, ndizi, mihogo, tangawizi, kahawa, mafuta ya kupikia na mkaa.

Tafuta location yenye watu wengi wanaopita hasa intersections pembeni ya vibarani preferably kuwe na baa za karibu. Tafuta mama mpe kila kitu kazi yake kukaanga na kuuza hivyo nilivyotaja. Siwezi kukupa estimations atauza kuku wangapi kwa siku ila kila siku atauza.

Sasa multiply hicho unachofanya kwa mama mmoja kifanye kwa mama kadhaa kadri unavyoweza. Hakuna haja ya kibanda wala kibari. Unaweza uza kuku kadhaa kwa siku na wengine ukauza kwa kwa njia unayotafuta hapa.

Chukua ushauri huu kama wewe ni mjasiriliamali, kilimo na ufugaji usipojumlisha na ujasiriamali utatia huruma endapo soko la awali litafeli.

Angalizo: Kitu chochote huwa ni chepesi kwenye maandishi, sio kwenye utekelezaji.
Genius 🤜🤛
 
Duh... Mwanza wanaokula broiler on a daily wanahesabika.

Ndio watu wanafuga but mimi sijaona wengi sana.

Most of them wanafuga wa mayai halafu wakichoka wanawapiga bei.

Most natives wa Mwanza ni heavy feeders, kale kakuku unakamaliza mwenyewe na bado inahitajika ugali wa kusakafia.

Lakini look around, unaeza pata market zaidi
Hujui vibanda vya chips vyote hutumia broiler na layers waliomaliza kutaga?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom