Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
Pole sana jamani umeandika kwa uchungu sana.
Karibu chama la mabachelor.
Hivo vya kawaida sana within time mambo yatakua sawa.
Ila msiwe mabachelor sugu tuu!
Pole sana jamani umeandika kwa uchungu sana.
Karibu chama la mabachelor.
Hivo vya kawaida sana within time mambo yatakua sawa.
Ila msiwe mabachelor sugu tuu!
Habari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye 1)alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). 2)Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. 3)Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.
Anyhow habari yenyewe ni hii...4)juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. 5)Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. 6)Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?
1) Sijawahi kusikia mwanamke anakubali kuwa yeye ana michepuko.
2) Unakutana na mwanaume mwingine mtu mzima(hence sugardaddy) akupe pesa tena sehemu ya kunywakunywa? baba ako huyo?
3)Kama kulikuwa hakuna kinachoendelea nyuma ya pazia kati yako wewe na huyo named sugardaddy, kwa nini useme ni bahati mbaya kuna mtu wa karibu na bf wako alikuona?
4)Alikupenda sana na ulimuumiza sana ulipokuwa nae, sasa na yeye anajaribu kukufanya na wewe uumie. Hii inanipa picha kwamba wewe ulikuwa ni mtu wa michepuko na ma-sugardaddy au na wanaume ambao hawawezi kukuoa, pengine ulikuwa unanufaika na hiyo michepuko kwa hali au mali, halafu huyo bf wako ulikuwa unadhani umemu-handle vizuri hivyo hawezi kukuacha.
5) Uliumia sana baada ya kusikia kuwa anaoa kwa sababu wewe ndio chanzo cha sababu ya uhusiano wenu kuvunjika.
6)Uliweza kumsubiri arudi kwako huo muda wote wa mwaka mmoja na nusu kwa sababu ulikuwa na uhakika kuwa jamaa hana pa kwenda lazima atarudi kwako tuu kwako na ulikuwa unaendelea na wanaume wengine kama kawaida(unless utuambie ulikuwa hubanduliwi muda wote huo), na inawezekana ulishamfanyia vituko mara kadhaa akawa anaondoka halafu anarudi, hivyo ukawa unaamini lazima atarudi.
Hakuna mwanaume ambaye atahimili kirahisi kuona/kusikia demu/mchumba wake amekutana kisirisiri na jamaa ili achukue hela labda huyo mwanaume awe Marioo. Iwe fundisho ujue jinsi ya kuishi vizuri na utakayemchagua next.
HATA HIVYO POLE MWAYEGO.
Habari zenu wana MMU!
Nilikua na bf wangu tulianza naye mahusiano 2010 bahati mbaya tulikua tukigombana mara nyingi kwasababu yeye alikua anaamini mimi nina michepuko( jambo ambalo halikuwahi kuwa la kweli). Siku moja( miaka ishapita sasa) nikakutana na a friend sehemu. Tulikutana kwa nia njema ili anikabidhi hela flani sema akachelewa kufika ikapelekea mimi kusubiri hapo mpaka giza. Anyways jamaa alikuja akanikabidhi mzigo huo, kila mmoja akamalizia kinywaji chake na kila mtu akaenda na njia zake. Bahati mbaya sana siku hii hii kuna mtu wa karibu wa huyo bf wangu aliniona( ndio alivyonambia) lakini ms aliyopeleka kwa mshikaji ni kwamba nipikuwa mahala pale na sugadaddy ambaye tulikuwa tukipapasana hadharani na mwisho wa siku tukaondoka na gari lake. Dah hii ilinistua haswa sababu kweli nilikwenda mahala pale na siwezagi kusema uongo. Nilijitajidi kumweleza jamaa hakunielewa sanasana akanitusi sana na kunambia tayari ana mtu na kwamba mi nayeye basi. Niliumia sana sababu kama ilipaswa tuachane basi ningependa yaishe kwa jinsi ya tofauti. Nami nikaona haviwezekani nikakubali yaishe na mawasiliano nikakata.
Anyhow habari yenyewe ni hii...juzi kati hapa kanitumia ms kuwa anaoa na kwamba angependa nishiriki. Niliumia sana ikabidi kuonana hadi na wachungaji nipate maombi na faraja. Niliumia mno zaidi ya kipindi alichoniacha ambapo ni zaidi ya mwaka na nusu sasa. Nakosa raha sana, ninapatwa baridi, hata sielewi naumwa wapi ila naumwa tuu dah! Najikuta nipo kazini sana zaidi ya muda wa kazi hadi weekend nakuwa huko. Hili nashindwa elezea marafiki zangu sababu naona watanipa habari za 'haikuwa mpango wa Mungu', 'subiri wako yupo' etc.Nimeshafikiria hadi kuhama nchi ila kikwazo ni fedha tu. Nafikiri muda wote nilitaraji jamaa angerudi kwangu lakini doh! Salaleee huyu si wangu milele maana sote wakristo. Nishaurini wana jamvi nifanyeje?
Ulifanya kosa kutomuomba msamaha before. Ila ndo ishatokea ucumie xna cha msingi usiende kwenye hyo harusi/ndoa. Cha msingi kuwa busy na mambo yako utasahau na kama upo na imani basi piga maombi ya nguvu utapata faraja yako. pole xana ndugu.
Ehh ndugu nashukuru kwa kuchukua muda kuandaa thread hii. Kweli kabisa upande wa pili hauwezi kuona hilo swala kuwa genuine.
Kuhusu kukutana naye huyu mtu sijakataa na tena huwa nimekutana naye mara nyingi huko nyuma na hata sasa. Sio sugadaddy wangu na hajawahi kuwa michepuo. Hili ndio lilinitatiza sababu nilisikiza hoja za mwenzangu akiwa na hasira nikaona kwa upande wake zilikua zinaleta maana. Japo ilinibidi kuomba msamaha la kwenda mahali pale bila kutoa taarifa.
Yeah nilisubiri na sijawahi kuwa na mtu sababu sex was never a priority kwangu. Ndio hivyo haikuwa bahati yangu. Najua ni mimi nilichangia zaidi kwenye kuachika kwangu ila ukweli ni kwamba naumia na nahitaji kusahau tena kwa upesi.