Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Ni kawaida kwa sisi vijana tuliopanga vyumba kitaa kuleta vimwana wetu RUM then mnadu the nidfull!!!
Swali ambalo huwa najiuliz ni kwamba wakati wanatoka rum na msela wake unakuta wapangaji wenzio wamekaa nje na wanajua nini kilichokuwa kinaendelea, hivi huwa mnajisikiaje????
J'pili njema.
Swali ambalo huwa najiuliz ni kwamba wakati wanatoka rum na msela wake unakuta wapangaji wenzio wamekaa nje na wanajua nini kilichokuwa kinaendelea, hivi huwa mnajisikiaje????
J'pili njema.