Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,087
Unakufa ili mwanaume mwenzio awe kiongozi wewe si falaWenyewe wanamahitaji mengi, kufa mbona si jambo geni? Au ni nchi ya kwanza raia kufa kwneye maandamano?
Nchi kibao tu raia wanakufa
Unakufa ili mwanaume mwenzio awe kiongozi wewe si falaWenyewe wanamahitaji mengi, kufa mbona si jambo geni? Au ni nchi ya kwanza raia kufa kwneye maandamano?
Nchi kibao tu raia wanakufa
kwenye maandamano mihemko ni kitu nonsense sana gentleman,Iwapo duka unajua ni la chawa kama wewe kwanini lisichomwe moto kabisa?
Wakenya sio maiti na vilaza Mazezeta kama watanzania1. Ilianza na Finance Bill, ikabadilishwa to take care of their demands.
2. Loss of life inaendelea. jana wamekufa 8
3. Rutto amesema watulie atawasikiliza, hawataki
Sasa wanataka nini?