Mara nyingi hizi JD ya mwisho kabisa wanasema na kazi nyingine utakazo pangiwa na mkuu wako
Lengo langu ni hatua zipi utachukua endapo mwajiri amekupa kazi ambayo haiendani kabisa na skills wala haiendani na kilicholengwa kuajiriwa zako/it undervalue you
Hivi wewe unafanya kazi bila JD unategemea nini. Kuna siku mwajiri atakuambia umfulie nguo zake za huko chini kwake na hutaweza kumbishia kwa kuwa huna JD na atakuambia hayo ni sehemu ya majukumu yako.Hello wana jf! Ndugu zangu mimi ni mgeni ktk swala ajira, mnisaidie kama kuna umuhmu wa kudai job descriptn from the employer, na je mwajiri akikufanyisha kazi nje na job description unahtajika kuchukua hatua gani?
Ni muhimu sana ila kwa zamu hizi za ukosefu wa Ajira unaweza ukawa unaweka rehani kibarua chako.
Kwa hyo hata bosi akikwambia kafagie nyumbani kwake sawa kabisa?Ni kweli kabisaaaaa
Kha! Sasa unafanyeje kazi bila kuwa na JD? Au Ndio hio experience inayotajwa Kila siku? HR ndio responsible person WA kukupatia JD
Hello wana jf! Ndugu zangu mimi ni mgeni ktk swala ajira, mnisaidie kama kuna umuhmu wa kudai job descriptn from the employer, na je mwajiri akikufanyisha kazi nje na job description unahtajika kuchukua hatua gani?
Mkuu hujasema upo sekta ipi, ama ni dereva, au ni nani. Pia naona kama vile wewe ni mtata, unasema ni mgeni katika ajira, wakati huo huo unataka kumchukulia bosi wako HATUA, kuwa makini, unaweza usifike mbali. Cha msingi, fanya kazi za watu kutokana na unavyotumwa, kama hujaridhika na hiyo kazi achana nayo, tafuta nyingine. Kwa hizo hatua unazopanga, utajipitezea muda na uhaminifu kazini kwako