Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 684
Aisee, huyo Chotta ndio yule mjeshi wa pale kikosi cha anga?Jamani karibuni kwa chotta banana kipo cha kuchoma kwa gesi ni balaa.
Aisee, huyo Chotta ndio yule mjeshi wa pale kikosi cha anga?Jamani karibuni kwa chotta banana kipo cha kuchoma kwa gesi ni balaa.
Ni aya gani vile katika msahafu?
Sawa umenena ya kweli ila tafsida muhimu,kwenye blue hapohakuna cha misaafu, wala nini, kuna watu hudhani kitimoto ni dhambi kubwa kuliko uchawi, uganga, kupiga ramli, uwongo, uuaji , ufiraji nk.
mimi nakula nao pale B Bar, nimewazoea, huwa tunagonga kama kawa.
daaah , waache nitoke nikajidunge huyu mdudu.
...Ni kama mimi ninavyoshangaa hata hao wanaouuza hiyo "hot chair" wanavyojificha na vibanda vyao..Kama ni halali si wauze kwa uwazi kama tuonavyo mabucha ya nyama ya ng'ombe yamepangana mwenge pale au meza za samaki ferry kule.. Uchu tu hamna lolote!!Basi watu waache unafiki eti kiti moto kharam. Ila mimi sijawahi kula hata siku moja. Sio kwamba mi msilamu hapana ila sina mzuka nayo tu. Kinachonishangaza jamaa zetu wanajificha wakila hii kitu.
Quran 2:168. O mankind! Eat of that which is lawful and good on the earth.... "unavyokula vyote vina aya kwenye qurani?