Oscar Lyrics
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 2,754
- 4,684
Wanao wanakufanana au umeambiwa wanafanana na Babu mzaa Bibi, Mjomba shangazi nk?
Kwa upande wangu wanangu wa kiume wanafanana na mimi copyright no DNA, wa kike ndo kafana na mama yake.
Wanaume tuwe makini tusije kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
Kwa upande wangu wanangu wa kiume wanafanana na mimi copyright no DNA, wa kike ndo kafana na mama yake.
Wanaume tuwe makini tusije kuuziwa mbuzi kwenye gunia.