Janja weed
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 2,668
- 4,885
Wakati wenzenu wanahangaika hadi kufuga kuku na kulima nyanya nyie mnakuaga bize kuwapiga na kuwachukulia vihela vyao kwa rushwa zenu, kibaya zaidi mnahangaika na siasa ambazo hata haziwahusu, hiii ndio malipo yake , mkiwanga na mayunifomu mnakuaga kama vile kufa hakuna wala kustaafu , pambaneni na hali zenu wazoea vya kunyonga nyinyi