Hivi kwanini Askari wastaafu wengi wanaishia kwenye vilabu vya pombe za kienyeji baada ya kustaafu?

Kyambamasimbi

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
570
1,229
Habari wanjf.

Jamani nmeexperience baadhi ya Askari wa Jeshi fulani wakistaafu wanakua na Maisha fulani tofauti kabisa na vile walivyokuwa katika utumishi. Maana ni wazi kuwa serikali yetu inajari Sana Askari wake.

Sasa je Nini kinawafanya waishie kwenye pombe na ulinzi baada ya kustaafu. Inakuwa na akili zao zimechoka na kazi ngumu?

Wengi utaskia wakijisifia baada ya kulewa nilvyokuwa jeshini, sikuwa na masihara.Hili likoje na Nini kinawakuta kwa wastaafu. Karibu kwa mjadala.
 
Mkuu asaivi jeshi la polisi kila mtu anang'ang'ania akosome awe trafk kituoni hakuna watu hata mwenye nyota tatu unamkuta bara barani na ma OCD wanashinda umo umo lod
Ni rushwa kwenda mbele.

Saa nyingine mtu hata huna kosa ila watakutafutia kosa ili uwape rushwa.

Na hizo rushwa ndio laana inayowatafuna pindi wanapostaafu.

Hakuna cha maana atakachofanya zaidi ya kuwa mlevi chakari.
 
Ukiachana na hivyo ,swali langu kwa nn hawa polisi karibia wote ni walevi haijalishi wametokea wapi .

Hata style yao ya kunyoa inafanana na kukuta bars zao bia bei chee ni kawaida sana ....Wengi walevi kwa kweli kuna jamaa alikuwa safi kaenda kuchukua mafunzo kaajiriwa eti kashakuwa mlevi.
 
Habari wanjf. Jamani nmeexperience baadhi ya Askari wa Jeshi fulani wakistaafu wanakua na Maisha fulani tofauti kabisa na vile walivyokuwa katika utumishi. Maana ni wazi kuwa serikali yetu inajari Sana Askari wake. Sasa je Nini kinawafanya waishie kwenye pombe na ulinzi baada ya kustaafu. Inakuwa na akili zao zimechoka na kazi ngumu? Wengi utaskia wakijisifia baada ya kulewa nilvyokuwa jeshini, sikuwa na masihara.Hili likoje na Nini kinawakuta kwa wastaafu. Karibu kwa mjadala.
Sio laana wala nini, ni hivi hela ya kuipata bure kwa miaka 30 ukiamka tu ni maokoto ghafla unastaafu maokoto yanakata nakutokana na nature ya kazi yao kuhamishwa kila siku mara mkoa huu inakuwa ngumu kuwa na biashara au alternative chanel ya hela
 
Hao mbwa wana laana ya kubambikia watu kesi kutapeli watu
Kwa kisingizio cha kusaidia watu wamalize kesi zao
Kuna muda nikimuona polisi haijalishi ni wa nchi gani nahisi harufu ya kifo
Nikikumbuka japo nilikuwa mdogo mwaka 1966 hawa mbwa ndiyo chanzo cha baba yangu kufa kisa ubambikiaji kesi mpaka mzee wangu akapata maradhi mwaka mzima akiwa lupango kuja kutoka huko anaumwa balaa
Mwaka 1967 akafariki na kukimbia nchi mama na kuwa wakimbizi tz mpaka leo
 
Back
Top Bottom