Nauli na mafao ya askari wastaafu kucheleweshwa ni mateso

Si kila askari alijiandaa kuwa na kitega uchumi akiwa kazini lahasha, lakini sasa kwanini anapostaafu asipewe nauli ya kumrudisha kwao kwa wakati ili aende apambane na mashamba?

Swala hili viongozi na Waziri wa mambo ya ndani alitolea ufafanuzi lakini hamna utekelezaji sijui ni kumbembeleza mtoto kwa pipi au la.

kwa sasa mtu anastaafu nauli yake haiji baada tu ya kustaafu, fuatilieni ni wangapi wapo makambini wanasubiri nauli na wameisha staafu na nauli hizo hazii, watu wamekaa miezi sisi tukiwemo, pensheni ndio usiseme, mfuko wa pensheni PSSSF wanasema Serikali.

Inachelewesha kulipa Michango ya wanachama wake ndio maana na wao wanachelewa kuwalipa pensheni zao, serikali hiyo hiyo ndio inayotoa maagizo watu walipwe mapema, sasa hawa watu wanatuonaje sisi mfano, sasa hapa tunashindwa kuelewa ni kampeni ili wapate kura za wastaafu au ni nini.

Wastaafu kama askari wamekuwa wakitaabika baada ya kustaafu, si nauli ya kurudi kwao si pensheni hamna kitu, huenda NSSF inayokusanya michango ya private sector wana unafuu sana labda, ila PSSSF imetuchosha mno mno.

Sidhani kama kuna huruma yoyote ile kwa wastaafu wa PSSSF.
Wasilipwe kabisa hao, tena ikibidi wawekwe ndani
 
Si kila askari alijiandaa kuwa na kitega uchumi akiwa kazini lahasha, lakini sasa kwanini anapostaafu asipewe nauli ya kumrudisha kwao kwa wakati ili aende apambane na mashamba?

Swala hili viongozi na Waziri wa mambo ya ndani alitolea ufafanuzi lakini hamna utekelezaji sijui ni kumbembeleza mtoto kwa pipi au la.

kwa sasa mtu anastaafu nauli yake haiji baada tu ya kustaafu, fuatilieni ni wangapi wapo makambini wanasubiri nauli na wameisha staafu na nauli hizo hazii, watu wamekaa miezi sisi tukiwemo, pensheni ndio usiseme, mfuko wa pensheni PSSSF wanasema Serikali.

Inachelewesha kulipa Michango ya wanachama wake ndio maana na wao wanachelewa kuwalipa pensheni zao, serikali hiyo hiyo ndio inayotoa maagizo watu walipwe mapema, sasa hawa watu wanatuonaje sisi mfano, sasa hapa tunashindwa kuelewa ni kampeni ili wapate kura za wastaafu au ni nini.

Wastaafu kama askari wamekuwa wakitaabika baada ya kustaafu, si nauli ya kurudi kwao si pensheni hamna kitu, huenda NSSF inayokusanya michango ya private sector wana unafuu sana labda, ila PSSSF imetuchosha mno mno.

Sidhani kama kuna huruma yoyote ile kwa wastaafu wa PSSSF.
Namshauri mama yetu Mpendwa sana aunganishe hii mifuko ili iweze kukidhi matakwa ya wastaafu,
Psssf ni mfuko mfu, labda wauze vitega uchumi vilivyopo ambavyo havifanyi vizuri mfano ppf towers, pspf towers nk.
Otherwise iko siku mfuko utazikwa
 
Tatizo LA askari ni kushindana kuendesha brevis na alphad kuwekeza hawajui Pia u Malaya kijinga unawacost
 
Hawana Thamani Tena....Hapa Muda wa Majuto Ndo Huanza.... Kuna Wimbo wa Lucky Dude Inaitwa Soldier and Righteousness. Ukiusikiliza Utaelewa... Kwanini wanakuwaga na Majuto wakistaafu
Nendeni mkaandamane kudai hela zenu, halafu watakuja askari vijana kuwashughulikia kwa virungu.... mshahara wa dhambi ni mauti😡
 
Wapinzani wangekuwepo bungeni wangewatetea Askari lakini Askari hao hao ndio walishirikiana na wanaowacheleweshea nauli/mafao kuukandamiza upinzani.
Mtajua hamjui.
Nendeni mkale mlikopeleka mboga
Siku hizi tunasema kale mmaako alipo olewa
 
Wakati wenzenu wanahangaika hadi kufuga kuku na kulima nyanya nyie mnakuaga bize kuwapiga na kuwachukulia vihela vyao kwa rushwa zenu, kibaya zaidi mnahangaika na siasa ambazo hata haziwahusu, hiii ndio malipo yake , mkiwanga na mayunifomu mnakuaga kama vile kufa hakuna wala kustaafu , pambaneni na hali zenu wazoea vya kunyonga nyinyi
Tusijuimuishe mabaya yanayofanywa na baadhi ya askari kwa kuwahukumu polisi wote
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom